Hakuna cha kubadili nia, zilienda zikawa mbovu wakasingizia kuwa waliuziwa mafuta mabovu, kilichofuata ni kufungiwa na SUMATRA kwa kuwa kuna viwango fulani hawakuwa navyo, thereafter it is the HISTORY, bora maghufuli aliwakatalia, wangeleta uharibifu/usumbufu kwa boat amabazo zingefanya kazi kwa miezi miwili na kuwekwa juu ya mawe.