bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Nlikua mmoja wa mashabiki wa timu ya Taifa ya Czech Republic kipindi cha nyuma kidogo enzi izo ikiundwa na Wakali kama Pavel Nevded uyu mtu alikua fundi sana anzia timu ya Taifa mpaka Juventus.
Wakali wengine kama Milan Baros mashabiki wa Liverpool wanamjua huyu mtu alikua mkali wao wa kutupia.
Na jamaa wao mmoja wakuitwa Jan Koller mrefu hivi na nguvu za kutosha kwa magoli ya vichwa alikua hatari sana,kama sikosei kakipiga pale Monaco/France na wakali wengine
Tangu icho kizazi kipotee Timu yao ya Taifa imekua haina mvuto sana kama ule wa zamani zaidi ya mkongwe Peter Szech na yule beki wao mwenye asili ya Ethiopia,nimekua siwafwatilia sana siku hizi.
Nini kimesababisha Jamhuri ya Szech kupotea kidogo kwenye soka japo kwenye michuano mikubwa kama World/Euro cup bado wanaonekana???
Wakali wengine kama Milan Baros mashabiki wa Liverpool wanamjua huyu mtu alikua mkali wao wa kutupia.
Na jamaa wao mmoja wakuitwa Jan Koller mrefu hivi na nguvu za kutosha kwa magoli ya vichwa alikua hatari sana,kama sikosei kakipiga pale Monaco/France na wakali wengine
Tangu icho kizazi kipotee Timu yao ya Taifa imekua haina mvuto sana kama ule wa zamani zaidi ya mkongwe Peter Szech na yule beki wao mwenye asili ya Ethiopia,nimekua siwafwatilia sana siku hizi.
Nini kimesababisha Jamhuri ya Szech kupotea kidogo kwenye soka japo kwenye michuano mikubwa kama World/Euro cup bado wanaonekana???