Kiasi cha 300 ndio kiasi gani? Au una maanisha nini hapo?watu walitakiwa walipe kiasi cha 300 ili waweze kununua nyimbo za wasanii.
Soma Pia: Spotify Vs Boomplay
Ukiona watu wako kimya sio kwamba wanapenda yanayotokea Bali wanaangalia biashara zao zisijeletewa songombingo na sirikaliMsanii gani hakemei utekaji
Apambane na hali yake
Ova
Hakemei utekaji na mambo yake yanamnyookea kila kukicha.Msanii gani hakemei utekaji
Apambane na hali yake
Ova
Kwema mzee naona ulikuwa kimya kidogo..Hakemei utekaji na mambo yake yanamnyookea kila kukicha.
Vipi wasanii wenu wanaokemea maisha yao yanaendeleaje?
Sidhani kama ingetoboa. Why??Habari zenu wanabodi.
Kama mtakumbuka vizuri, mwaka 2017 Diamond alianzisha platform ya kuuza muziki ya kuitwa Wasafi Dot Com ambapo watu walitakiwa walipe kiasi cha 300 ili waweze kununua nyimbo za wasanii.
Sina uhakika sana nini kilitokea lakini hiyo platform kufikia sasa ni haipo.
Watu wanasikiliza muziki sana kupitia Boomplay, Youtube na platforms nyingine.
So my question is, what happened to Wasafi Dot Com?
Najua kutakuwa na wajuvi humu watakuwa na undani kuhusu hiyo platform.
Soma Pia: Spotify Vs Boomplay
Kwema kaka, majukumu mengi muda unakuwa mchache wa kuperuziKwema mzee naona ulikuwa kimya kidogo..
Tulizikosa amshaamsha zako
š
Ova
Wewe ungekuwa msanii show moja tu ya CCM unalipwa 100M ungekuwa unaipinga CCM?Msanii gani hakemei utekaji
Apambane na hali yake
Ova
Kwa hiyo watz wamegoma kunua mziki kwa sh miatatu tu?Habari zenu wanabodi.
Kama mtakumbuka vizuri, mwaka 2017 Diamond alianzisha platform ya kuuza muziki ya kuitwa Wasafi Dot Com ambapo watu walitakiwa walipe kiasi cha 300 ili waweze kununua nyimbo za wasanii.
Sina uhakika sana nini kilitokea lakini hiyo platform kufikia sasa ni haipo.
Watu wanasikiliza muziki sana kupitia Boomplay, Youtube na platforms nyingine.
So my question is, what happened to Wasafi Dot Com?
Najua kutakuwa na wajuvi humu watakuwa na undani kuhusu hiyo platform.
Soma Pia: Spotify Vs Boomplay
Hizi story za vijiweni.Wewe ungekuwa msanii show moja tu ya CCM unalipwa 100M ungekuwa unaipinga CCM?
WellSidhani kama ingetoboa. Why??
1. Kutokuwa na mahusiano mazuri na wanamuziki wengine. Wengi wana lalamika jamaa anawabania fursa, anaweka kauzibe live n.k Nani ataunga mkono juhudi zake?
2. Ishu ya maslahi, kufanya watu waje kulipia nyimbo kwako inataka wasanii waache kuziweka nyimbo zao ktk site zingine zinazo fanya streaming au kuziachia ktk account zao za YouTube. Hili linataka jamaa agawe mipunga kwa wasanii ili nyimbo zao ziwe exclusive huko, na kitu ambacho sijaona angeweza kufanya.
3. Utayali wa wabongo. Hivi nani ataenda kweli kulipia kupakua nyimbo ambayo anajua akiiiskiza siku tatu nne inakosa kama utamu, nyimbo zao hazina maisha marefu. Wabongo hawapo tayari sasa kulipia hizi huduma za kununua nyimbo, maana hata album those times hakuna YouTube wadau hawanunui wana record redioniš¤£.
4. Kuto jifunza kwa watangulizi, nilionaga hiii mitandao ya simu ilifanyaga kitu kama hiki, cha ku stream nyimbo, dating site/ Chatting site kama Tigo but haikuenda sana.
Kuwa na jina tu haitoshi bali kuboresha huduma, watu ndio wanafata.
Kingine, aachie Wataalamu waendeshe hizo platform,maana kama ikiwa kila sehemu akionekana anaingilia wasaniii wataleta ego zao za kimziki kwa mpinzani wao... Aache Fair competition huku yeye anaingiza mapene.
Yeye anataka tuwe pamoja tu kwenye maslahi yake.Msanii gani hakemei utekaji
Apambane na hali yake
Ova
Kweli kabisaYeye anataka tuwe pamoja tu kwenye maslahi yake.
Mbona kina Davido,Wizkid, na yule wa kenya anapachimba na ndio kwanza wanapanda chati.
Hizi biashara za kutegenea uchawa entirely hazina maisha zaidi utajikuta unafanyishwa biashara haramu ili uendelee kuwa kwenye peak
Ni kweli analipwa hivyo kuna uzi humu walileta asikwambia mtu CCM wanalipwa vizuri kuliko hata show za hapa ndaniHizi story za vijiweni.
Hamonizer alikuwa anasema hivyo hivyo lakini Mwaka huu Mahakama imemtia nyavuni anadaiwa Deni la Sh 100M
Aliagizwa na mahakama kulipa angalau 10M kila mwezi na zikamshinda.
OkNi kweli analipwa hivyo kuna uzi humu walileta asikwambia mtu CCM wanalipwa vizuri kuliko hata show za hapa ndani