ikula ya rais wa muungano itakuwa bara na znz au itakuwa bara tu?

ikula ya rais wa muungano itakuwa bara na znz au itakuwa bara tu?

tpmazembe

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2012
Posts
2,469
Reaction score
586
kutokana na rais wa muungano kusimamia nchi mbili nazo nitanganyika na zanzibar.Je tutalazimika kuwa na ikulu mbili?maana nadhani kuwa na ikulu sehemu moja ya muungano sio haki.

angalizo: sisi huku znz kama rais wa muungano akitaka ofisi tunamjengea nyumba ya room 2 hatuna hela za kujenga gorofa, nyie watanganyika jengeni maana mna pato kubwa MSITUBEBESHE MIZIGO.
 
Back
Top Bottom