Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

Kuna nini kimetokea kwa Dk Ashatu kijaji? huyu ni msomi mzuri wa Uchumi na ingekuwa bora kuungana na Dk mango katika wizara ya fedha, yaani unachagua akina katambi unamuacha Dk Ashatu? sioni logic.
 
Wewe unaandika ujinga hapa kama hupo Tanzania ambako ili mtu apate Uwaziri unaodai ni mzigo, anatoa rushwa kwa wajumbe wa Chama chake ili wampendekeze agombee Ubunge.

Akisha pendekezwa anatoa rushwa kubwa zaidi kwa wapiga kura ili wamchague kuwa Mbunge wao kwa mategemeo kuwa akisha pata nafasi hiyo, Uwaziri unakuwa karibu nae kwa sababu Waziri lazima awe Mbunge.

Pesa anazotumia kutoa rushwa anazipata kwa kuuza mali yoyote ya familia yake akijua kuwa asipochaguliwa itakuwa kilio na kusaga meno familia nzimà kwa miaka mingi lakini ubunge mtamu na Uwaziri mtamu zaidi.

Akichaguliwa kuwa Mbunge tu anakopa pesa ya kutosha, atarudisha akiapishwa, atakwenda na bulungutu la hizo fedha kwa mganga mashuhuri ili kwa gharama yoyote amtengenezee dawa ateuliwe kuwa Waziri.

Baada ya kumalizana na mganga akingoja uteuzi, ataanza kumsifia, kumtukuza na kulamba miguu ya anayeteua akifanya yote haya ili apate UWAZIRI. Wewe mjinga unasema eti ili awatumikie wananchi!
 
Nasikia Silinde kapewa uwaziri!! Ni waziri wa wizara gani?
 
Prof.Ibrahim Msabaha,Shukuru Kawambwa,n.k.
 
Well noted
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…