Kila Mbongo
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 308
- 435
Kuna document jana nimeiona...mabalozi wanalipwa kulingana na nchi husika waliyopo, na kwa Malawi ni dola 7,000 kwa mwezi!OK
That's why nimeuliza ili kuweza kujua kiwango cha mshahara wenyewe
Ili tujue Landa ni ofa nzuri mtu yeyote angeshindwa kukataa.
Balozi ni mwakilishi wa nchi,rais...jamaa huwa wana maisha....Baada ya muda wanamtema ili apotee mazima
Btw hivi mabalozi hao wanalipwa bei gani kwa mwezi.
Alikuwa ni mpinzani mkubwa wa NJIA ZA MAPAMBANO DHIDI YA KORONA! Alipinga kuchanjwa chanjo!Aende "akaifungue" nchi Malawi. Halafu, kule wanalima sana tumbaku. Itamsaidia anapotaka ku-buy buy tme.
Polepole KICHINEH..Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kutoka Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma ambapo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa CCM Ndg. Samia Suluhu Hassan anawaapisha viongozi aliowateua kama ifuatavyo:
- WAZIRI KINDAMBA WAZIRI kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe.
- HUMPHREY HEZRON POLEPOLE kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi.
View attachment 2151319
Picha: Humphrey Polepole akiapa kuwa Balozi wa Tanzania nchini Malawi
View attachment 2151318
Picha: Waziri Kindamba akithibitisha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mjombe
Kwani asingeamua kuukataa uteuzi ili abakie kufanya mambo yake au na yeye hana issue mjini kama mimi?Slow slow kama amehuzuria uapisho basi kakubali kujimaliza
Ataenda huko then baada ya muda mfupi anaondolewa
Hilo lajulikana ni njia ya kumfunga mdomoSlow slow kama amehuzuria uapisho basi kakubali kujimaliza
Ataenda huko then baada ya muda mfupi anaondolewa
Kutokana na mapungufu yaliyopo hasa yanayoonekana kwa walio nje ya mfumo, ni ngumu kuweka katiba inayoweza kumsema ovyo rais na hakuna rais atakaye kubali litokee hilo kisa kuwaridhisha raia huku yeye akiwajibishwa.Haya mambo ya kuheshimu mamlaka ndio hutengeneza maraisi miungu huku afrika. Raisi anapaswa kupingwa ndani na nje ya chama.
Hiyo ndio demokrasia.
Yuko mkubwa mmoja alitaka kuleta demokrasia ndani ya chama chake eti nyapara naye ashindanishwe na wengine. Kufumba na kufumbua kajikuta amekunywa cocktail.Haya mambo ya kuheshimu mamlaka ndio hutengeneza maraisi miungu huku afrika. Raisi anapaswa kupingwa ndani na nje ya chama.
Hiyo ndio demokrasia.
Pole pole kijana wa mitaa ya dstv, yupo kazini tu. Usidhani ubalozi unapewa tuAkubali asikubali kuondolewa kupo pale pale
Tatizo la wanasiasa ni kuwaona wenzao hawajui kuliko wao, huyu mama kipindi akiwa chini ya Magufuli alitaka ku_resign ila kwa hekima mzee baba na watu fulani akarudi, hakuna sehemu inaonyesha entice management ambayo leo wanafanyiwa yatima!.Anaenda kukalishwa chini kupigwa mkwara na 'professionals' then ndiyo akaonane na 'taasisi ya urais'.
Nimeusikiliza kwa makini huo mkwara na umenitafakarisha sana.
Nimebaini bi Samia akitoa sauti ya 'authority' wakati anayatamka hayo maneno.
Kama ndio hivyo bora tu ajenge maisha yake yawe stable sana siasa hizi ni uchafu mtupu,Balozi ni mwakilishi wa nchi,rais...jamaa huwa wana maisha....
Manabii uchwara wa hapa JFSi kuna mtu kasema huyo PolePole hataapishwa
Hiyo kwa hapo bongo ni bei gani?Kuna document jana nimeiona...mabalozi wanalipwa kulingana na nchi husika waliyopo, na kwa Malawi ni dola 7,000 kwa mwezi!
Punguza hasira ili uweze kuandika vizuri mzeeUnaposema kahudumu vizuri una maanisha nini.Wakati nchi imekuwq ina makazi holela kupota kawaida.Kasi yq upimaji ni ndogo kuliko kasi ya ujenzi.Upimaji wa viwanja umejaq urasimu nq longolongo nyingi alaf leo mnasema Lukuvi kafanya vizuri.Kafanya nn hasa