Ikulu haijatambua PhD za Biteko na Jaffo?

Ikulu haijatambua PhD za Biteko na Jaffo?

Lihove2

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
3,545
Reaction score
6,512
Naona Majina yao hajaanza na Dr.

Je ni kwamba kuna utata wowote na hizo PhDs?au bado vyeti vyao havijawasilishwa au ni makosa ya kiuandishi tuu. wajuzi wa itifaki mtusaidie hili
 
Naona Majina yao hajaanza na Dr.

Je ni kwamba kuna utata wowote na hizo PhDs?au bado vyeti vyao havijawasilishwa au ni makosa ya kiuandishi tuu. wajuzi wa itifaki mtusaidie hili
Hizi ni PhD feki
 
Haipo shida mkuu.ni heshima tuu kwa wasomi wetu.PhD siyo level ya kawaida.labda zile za akina msukuma
Basi tulia mkuu,kila jambo na muda Wake..ukifika wakati wataitwa tu hayo majina
 
Back
Top Bottom