Ikulu ilivunja Tume ya Katiba kimya kimya bila wajumbe kujua

Kwani tume ya Warioba haikupewa hadidu rajeo. Nauliza hivi nikijua kuwa mh huyu ana historia ya kutofuata hadidu rajeo. Mulize rais Mkapa anaushahidi wa hili.
 
Kwani tume ya Warioba haikupewa hadidu rajeo. Nauliza hivi nikijua kuwa mh huyu ana historia ya kutofuata hadidu rajeo. Mulize rais Mkapa anaushahidi wa hili.

Kwa hiyo ni Warioba sasa na sio Tume?
 
Kwani tume ya Warioba haikupewa hadidu rajeo. Nauliza hivi nikijua kuwa mh huyu ana historia ya kutofuata hadidu rajeo. Mulize rais Mkapa anaushahidi wa hili.

Hadidu za rejea ina maana zilitolewa na ofisi ya rais. Nadhani sasa unaweza kuiona jinsi ilivyo. Hapo kuna hadidu hapo? Alipewa lakini matumaini yao yalikuwa tofauti. Tena siyo ajabu kwamba wao walidhani Warioba atatuelewa kwamba tunataka serikali mbili na lazima mawaziri tuendelee kuwa wabunge.

Tunaongozwa na misheni tauni!


Lkn mkuu haya mambo yanafanyika wtz wanaona nihuuni bei gani.tume imetumia mkuu anza kuchukua hatua wengine watafuata

Kuna wakati fact lazima lisemwe. Kwa ujumla TZ tulijisahau, tukadhani kila anayeingia ikulu ni nyerere. Sasa hata chawa wameingia. Tatizo wanajifahamu kwamba hawakuwa na stahili hiyo na ili kujilinda wanatumia nguvu nyingi sana. Kutoboa macho ya watu, kutoweka na meno ya watu, nk. Na hiyo ni ile ile staili ya Idd Amin. Kumbe hakuwa mbali na wengi. Utajitoa muhanga ktk serikali ya Idd Amin?
 
kutupiwa virago mheshimiwa ndugu yetu, kipenzi chetu ndugu jaji Warioba, Naombeni kujua nini umuhimu wa tume yake ?
jeee bunge la katiba tunajua lengo lake?
jee ccm wanaposema msimamo wao ni serikali mbili jee hayo ndio matakwa ya wananchi au matakwa ya ccm.
 
Kila siku na jambo jipya
 
Mbowe, lissu, lipumba kumbe hawajaanza Leo vurugu? Wakasababisha rasimu ya warioba isipite
 
Kikwete ametuharibia sana nchi,hakustahili hata kidogo kuongoza Tanzania,matatizo ya Leo emeyaanda na kuyatengeneza yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…