Ikulu kuna kitengo kinahitaji mabadiliko

Ikulu kuna kitengo kinahitaji mabadiliko

ego

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2013
Posts
1,620
Reaction score
1,407
Wakati serikali ya awamu ya Tano imeingia madarakani, raisi wa wakati ule kila alipopanda majukwaani alikuwa anajibizana na mitandao ya kijamii na baadae walijitokeza wazalendo wa kujibizana na mitandao.

jambo hili linajirudia katika awamu ya sita, tunaona jinsi Raisi wetu anavyojaribu kujibu hoja za kwenye mitandao kama vile alivyosema kule Arusha kuwa wanasema kamuambikiza Makamu wa Raisi wa Marekani

Hii inatupa picha kuwa kuwa kitengo pale ambacho kinafanya kazi ileile ya kumuweka bize raisi wetu kwa mambo ya mitandao na baadae wanaibuka na wazalendo wa kumsemea raisi
 
yeye mwenyewe Mama alisema huwa anakomaa kufatilia mambo ya mitandaoni.
 
Tuna "Ceremonial President" badala ya "Rais Mtendaji..."

Yaani kuna mtu au kikundi cha watu somewhere kinachoendesha nchi hii...

Rais Samia hajui kabisa nini kinaendelea mitaani kwa wananchi wake..

Nishati ya mafuta mwaka 2021 mwezi march bei ilikuwa wastani wa Tshs. 1,800 nchini kote...

Ni ajabu sana kuwa ndani ya mwaka bei imeruka kwa karibu 100% kwa kisingizio cha COVID 19 na vita vya Urusi na Ukraine...

Hapana. Haiwezekani. Something is wrong somewhere..!
 
Tuna "Ceremonial President" badala ya "Rais Mtendaji..."

Yaani kuna mtu au kikundi cha watu somewhere kinachoendesha nchi hii...

Rais Samia hajui kabisa nini kinaendelea mitaani kwa wananchi wake..

Nishati ya mafuta mwaka 2021 mwezi march bei ilikuwa wastani wa Tshs. 1,800 nchini kote...

Ni ajabu sana kuwa ndani ya mwaka bei imeruka kwa karibu 100% kwa kisingizio cha COVID 19 na vita vya Urusi na Ukraine...

Hapana. Haiwezekani. Something is wrong somewhere..!
Kuna WATU wanafanya maksudi kwa malengo Yao ! TUSUBIRI hatma!!
 
Back
Top Bottom