mvyetinam no barakoa mmarekan full barakoa!!
Tamko Kuelezea Masikitiko Yetu Kuhusu Uhuru wa Kujieleza na Ushiriki Jumuishi wa Kisiasa
Ubalozi wa Marekani umesikitishwa na hatua za hivi karibuni za Serikali ya Tanzania za kuminya demokrasia, ikiwa ni pamoja na kuwakamata viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani wakiwa katika vikao vyao vya ndani na kufuta leseni ya gazeti la chama cha siasa cha upinzani. Hatua hizi ni mwendelezo wa mlolongo wa matukio ya kusikitisha ya vitisho kwa wanachama wa vyama vya upinzani, asasi za kiraia na vyombo vya habari. Haki ya kukusanyika kwa amani na uhuru wa kujieleza ni mambo yaliyojumuishwa na yanayolindwa na Katiba ya Tanzania na Tamko la Kimataifa la Haki za Binadamu. Ubalozi wa Marekani unafahari kusaidia na kuunga mkono uhuru wa kujieleza na ushiriki jumuishi wa kisiasa kwa namna zote.
Source:
Tamko Kuelezea Masikitiko Yetu Kuhusu Uhuru wa Kujieleza na Ushiriki Jumuishi wa Kisiasa | Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania
By U.S. Embassy Dar es Salaam | 25 Juni
Amekuja kuangalia uchaguzi mtakavyouendesha ili mkizingua mnyolewe vizuri kifupi ni gud timingKumekucha karibu balozi wa watu wa Marekani.
Amefika wakati muafaka kabisa kuwakilisha maslahi mapana ya watu, serikali na nchi ya Marekani hapa Tanzania.
Channel ya taifa ndio kazi yakeNayo inarushwa live?
Watampelejea taarifa Trump kuwa Tanzania Corona hamna tumeingia na barakoa Ikulu wakawa wanatushangaa sababu hamna mwenye barakoaMmarekani kaingia na barakoa, kufika ndani kwa Mzee Baba kaivua ye pamoja na wenzake wawili [emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa ni wenzetu tunatengeneza ndege kwao kwa fedha taslimKumekucha karibu balozi wa watu wa Marekani.
Amefika wakati muafaka kabisa kuwakilisha maslahi mapana ya watu, serikali na nchi ya Marekani hapa Tanzania.
Marekani kama kaka mkubwa na pia mjomba wa nchi nyonge ambaye hasiti kutetea demokrasia, uhuru wa kupashana habari na utu wa mtu hatasita kufanya ushawishi hali hiyo itamalaki nchini Tanzania.
Sina hakika Balozi wa TZ akipokelewa USA, taarifa yake itakuwa ktk hardnews magazeti siku ya pili.Sisi huku eti mubashara!?Nayo inarushwa live?
Sina hakika Balozi wa TZ akipokelewa USA, taarifa yake itakuwa ktk hardnews magazeti siku ya pili.Sisi huku eti mubashara!?
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 02 Agosti, 2020 atapokea Hati za Utambulisho za Mabalozi Wateule wa Marekani na Vietnam hapa nchini. Tukio hili litarushwa mubashara na vyombo vya habari kuanzia saa 9:00 alasiri kutoka Ikulu, Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 02 Agosti, 2020 atapokea Hati za Utambulisho za Mabalozi Wateule wa Marekani na Vietnam hapa nchini. Tukio hili litarushwa mubashara na vyombo vya habari kuanzia saa 9:00 alasiri kutoka Ikulu, Dar es Salaam.