Ikulu: Rais Ramaphosa atajiuzulu kama atakutwa na hatia ya utekaji na ufisadi

Ikulu: Rais Ramaphosa atajiuzulu kama atakutwa na hatia ya utekaji na ufisadi

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826


Vincent Magwenya, Msemaji wa Rais Cyril Ramaphosa amesema tuhuma za kuficha Mabilioni ya Fedha shambani kwake zikithibitishwa kuwa na ukweli Rais atawajibika.

Hata hivyo amemtetea kwa kusema kuwa "Kwa hali ilivyo hakuna mashtaka ya jinai dhidi ya Rais, mnachokisikia ni msururu wa taarifa za uchunguzi na Rais anashirikiana nao kikamilifu na ataendelea kufanya hivyo."

Ramaphosa anatuhumiwa kwa Utekaji Nyara, Hongo na Matumizi Mabaya ya Sheria kwa kuagiza kukamatwa kwa watu walioiba Tsh. Bilioi 9 kutoka kwa shamba lake, ingawa amekanusha madai hayo.

========================

South Africa's President Cyril Ramaphosa will "step aside" if charged over an alleged cover-up of a robbery at his private farm, according to his spokesman.

"Should the president be charged he would gladly step aside - should it be the case," presidential spokesman Vincent Magwenya told journalists.

He added: "But as things stand there are no criminal charges against the president. What you have is a series of investigations that he's fully co-operating with and he will continue to do so."

Dubbed "farmgate", the controversy surrounds the robbery at Phala Phala farm back in February 2020 and the alleged aftermath.

The theft was allegedly committed by Namibian nationals who conspired with a domestic worker at the farm.

The president is accused of kidnapping, bribery and acting unlawfully by allegedly authorising the pursuit of the suspects who stole an estimated $4m (£3.2m) from his farm. He denies any wrongdoing.
 
[emoji23] majambazi walivamia shambani kwake na kukwapua pesa za kutosha mpaka jamaa hakaogopa kutoa taarifa polisi ila taarifa polisi ilifika,jamaa ikabidi kutafuta majambazi walio chukua pesa na kuwaonga ili wasiseme pesa walizochukua kiasi gani!

uzuri wa south africa TRA yao na Audit yao hipo benki kujua mzunguko wako.

na hiki ndicho kinawatoa wabongo aka michomoko kuvunja nyumba za wakwepa kodi,watakatisha peaa maana wanaogopa kuweka pesa benki.

ila huku bongo utashangaa mtu ni waziri ila anapesa kuliko kazi yake na hipo benki
 
Aliwachokoza West aone sasa kama Brics watamlinda
emoji23.png
emoji23.png
 
Hao watakuja kupasuana na lurufi tena kwenye katiba. Hakuna msafi 100% ni vile tu uchafu wako haujajulikana
Trump alituhumiwa mpaka kura zikapigwa dhidi yake na ndio taifa linalo jinasibu kwa uwajibikaji uliotukuka
 
Ukute hapo CIA walishanusa harufu ya namna bwana mkubwa anavyoiba na anakotuza baadhi ya pesa ya wizi. Wakalipwa wezi kuwa nendeni mkaibe zile pesa then Mambo yasanuke.

FBI Walichomfanyia Seif Blatter wa FIFA hatokuja asahau...USA ni wafitini sana wakiamua kusanua Mambo. Jambo hili halitamwacha salama Ramaphosa.

Malema alisema, Ramaphosa must rot in Jail because he is a murder.
 
Ukute hapo CIA walishanusa harufu ya namna bwana mkubwa anavyoiba na anakotuza baadhi ya pesa ya wizi. Wakalipwa wezi kuwa nendeni mkaibe zile pesa then Mambo yasanuke.

FBI Walichomfanyia Seif Blatter wa FIFA hatokuja asahau...USA ni wafitini sana wakiamua kusanua Mambo. Jambo hili halitamwacha salama Ramaphosa.

Malema alisema, Ramaphosa must rot in Jail because he is a murder.

FBI na CIA ni vyombo viwili tofauti chombo kimoja kiko ndani pekee kingine kinafanya operation kote ndani na nje
 
Africa Kusini imekuwa nchi ya hovyo sana chini ya uongozi wa ANC.
 
ANC & CCM ni ndugu wa damu

Na vyama vyote waasisi wake walikuwa na nia njema
Ccm is far better than ANC , sema ccm imeharibiwa na wafanya biashara hasa wafanya biashara wa mafuta, madini na wamiliki wa mabasi. Ni shida kila wanachojadili ni kwa mlengo wa biashara zao na si wananchi.
 
Back
Top Bottom