IKULU: Yapinga taarifa inayoenea mitandaoni kuhusu nafasi ya Kaimu Mkurugenzi wa mawasiliano.

lil wayne

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2016
Posts
992
Reaction score
904

Kumekuwa na taarifa ya kuwa Ikulu imefanya uteuzi wa Bw. Jerry Muro kukaimu nafasi ya Ukurugenzi wa Mawasiliano Ikulu.
-
Hii taarifa ambayo binafsi kwa mara ya kwanza kabisa niliikuta humu JF ikiwa imeanzishwa na mwanaJF.
-
Kupitia Idara yake ya Mawasiliano, Ikulu imejitokeza na kupinga kuwa Mh Rais JPM hajafanya uteuzi wa aina yeyote ile kwenye nafasi hiyo ya 'Kaimu Mkurugenzi' wa Mawasiliano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…