Mjukuu wa kigogo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2023
- 445
- 1,094
Kuna wale wamenunua Tv 700k+ au friji 700k+ halafu wanaisafirisha kwa bodaboda π Dah binafsi sina huo moyo aisee πHapo nauli yake haizidi 5K π
Ila moyo wa kuzama chumvini halaf unavaa kondom kuogopa kavu unao et??Kuna wale wamenunua Tv 700k+ au friji 700k+ halafu wanaisafirisha kwa bodaboda π Dah binafsi sina huo moyo aisee π
Mpaka nazama chumvini ujue huyo mwanamke namuamini na tunaenda kavuIla moyo wa kuzama chumvini halaf unavaa kondom kuogopa kavu unao et??
Halafu unasema unamiliki akili?Mpaka nazama chumvini ujue huyo mwanamke namuamini na tunaenda kavu
Kama uchafu unakutoka ww usidhani na wengn zinawatoka.Halafu unasema unamiliki akili?
Unaramba uchafu unaomtoka mtu puuuuh..!
Sawa mimi natokwa na uchafu, wako anatokwa na asali na ndio unailambagaKama uchafu unakutoka ww usidhani na wengn zinawatoka.
Khs kumiliki akili ucjali nitakuwa natumia zako.
Sijasema ww unatokwa na uchafu ila nimepita na maneno yako kuwa nalamba uchafu.Sawa mimi natokwa na uchafu, wako anatokwa na asali na ndio unailambaga
Acha vijana wawe bodaboda tu
Kule chini kuna bacteria wanaolinda uke, wewe unavyolamba unawatoa ukeni unawaweka mdomoni, we huogopiiii!!!Sijasema ww unatokwa na uchafu ila nimepita na maneno yako kuwa nalamba uchafu.
Binti akiwa msafi huko ndani bc kila kitu kinakuwa sawa.
Ingekuwa mambo ndio magumu kias hiki bc tungekuwa weng hosp, binti zingatia usafi tuu ili mambo yake vzrKule chini kuna bacteria wanaolinda uke, wewe unavyolamba unawatoa ukeni unawaweka mdomoni, we huogopiiii!!!
Kwa akili hizi tusiwacheke bodaboda kubebesha mafurushi kwenye boda zaoπ€Έ
Kimewaka π₯Sahivi uzi unaongelea kuzama chumvi-ni.
mkuu watu hawama utimamu wa akili..... imagine mtu anabeba chemical za maabara kwenye boda tena unakuta mtu kabeba chupa ya salphuric kaipakata najaribugi kuwaza akipata ajali inakuake maana ni mwendo wa kuunguaKuna wale wamenunua Tv 700k+ au friji 700k+ halafu wanaisafirisha kwa bodaboda π Dah binafsi sina huo moyo aisee π
Msichoweza kubeba ni mimba tuππππNaam sisi ndo maafisa usafirishaji hakuna kitu tunachoshindwa kubebaπππ
Ht kama mtu huna pesa ila kuna baadhi ya risk Siwez kuzifanya aisee πmkuu watu hawama utimamu wa akili..... imagine mtu anabeba chemical za maabara kwenye boda tena unakuta mtu kabeba chupa ya salphuric kaipakata najaribugi kuwaza akipata ajali inakuake maana ni mwendo wa kuungua
Bodaboda wataendelea kuongezeka kwa akili hizi!!Ingekuwa mambo ndio magumu kias hiki bc tungekuwa weng hosp, binti zingatia usafi tuu ili mambo yake vzr
Safi, sio kila kitu n kwa ajili ya kila mtu.Bodaboda wataendelea kuongezeka kwa akili hizi!!
Mimi sisemi sana ila Dr Restart atanitetea