Ila Croatia wameenda na visu Qatar ndio maana wanashinda game

Ila Croatia wameenda na visu Qatar ndio maana wanashinda game

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Wana hatari Hawa mpaka miss wao wamebeba Yaani ni full makasiriko kwa wapinzani wao 😀😀😀
FB_IMG_1670663553185.jpg
 
Ongeza Picture Tuoshe Macho Ukweli Yaliyomo Yamo
Croatia Ina Jambo Zito
 
Hii nchi si ndio mashindano yaliyopita walikua na rais wao kama sio waziri mkuu uwanjani akishangilia timu Yao?
 
Back
Top Bottom