Tulidanganywa sana
1. Eti kuna mtu alikuwa akipata mil 7 kwa sekunde kupitia EFD
2. Eti nchi inajenga miundombinu kwa hela za ndani wakati mikopo inakopwa kimyakimya
3. Eti tumeingia uchumi wa kati wakati ilikuwa uongo kabisa.
4. Kuna ajira elfu 13 zilitangazwa kwa mbwembwe sana kumbe ilikuwa uongo ni majina tu yaliyojirudia rudia ya walikwisha ajiriwa. Wapya hawakuzi elfu moj.
Hii nchi hii uongo ni jadi yetu.
1. Eti kuna mtu alikuwa akipata mil 7 kwa sekunde kupitia EFD
2. Eti nchi inajenga miundombinu kwa hela za ndani wakati mikopo inakopwa kimyakimya
3. Eti tumeingia uchumi wa kati wakati ilikuwa uongo kabisa.
4. Kuna ajira elfu 13 zilitangazwa kwa mbwembwe sana kumbe ilikuwa uongo ni majina tu yaliyojirudia rudia ya walikwisha ajiriwa. Wapya hawakuzi elfu moj.
Hii nchi hii uongo ni jadi yetu.