Ila sisi simba kwa propaganda tupo vizuri sema tunaangukia pua

Ila sisi simba kwa propaganda tupo vizuri sema tunaangukia pua

kilwakivinje

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
6,184
Reaction score
9,407
Tulizusha kuhusu job nalo time timeangukia pua. Nani atatuamini tena.

Mo atuachie timu siasa za mpira hazina nafasi
FB_IMG_1681579945036.jpg
 
Unakuta hapo ulipo hata mia hauna! Wazazi uko kijijini wamevaa matambala hata kuwanunulia mitumba uwezo huo huna!!! Bando lenyewe unatumia WiFi ya kanisa kwakua unapanga kachumba kamoja pembeni ya kanisa!! Jitafakali ndugu fanya kazi za halali achana na story za kwenye vijiwe vya kachori.
 
Tafuta hela mkuu achana na hayo mambo

bila shaka na wewe ni mmoja wapo wa wale wa "mimi ni mshabiki wa simba ila yanga......."
 
Tulizusha kuhusu job nalo time timeangukia pua. Nani atatuamini tena.

Mo atuachie timu siasa za mpira hazina nafasi View attachment 2589377
Utatukanwa sana. Lakini ulicho ongea kina ukweli kwa 99%.

Mashabiki wa simba wengi ni wepesi kudanganyika. Msimu uliopita walidanganywa na viongozi kuhusu usajili wa Adebayor, Aziz Kii, Manzoki, Bobosi, nk! Mwisho wa siku hakuna aliyesajiliwa!

Bilioni 20 za mwekezaji mpaka leo wanaambiwa zimetumika kwenye uendeshaji wa timu; na wameamini. Waliahidiwa timu itachukua ubingwa msimu huu, lakini mpaka sasa ukweli uko wazi; ubingwa unarudi tena kwa Wananchi wa Tanzania.

Wameaminishwa kikosi chao ni bora sana! Ila kila mwenye macho anaona; kikosi kimejaa wachezaji wazee, na wale wa kawaida kabisa! Isingekuwa Baleke mchezaji anayecheza kwa mkopo, kuwa katika kiwango bora kwenye hizi mechi chache alizocheza hivi karibuni; hali ingekuwa si hali.
 
Unakuta hapo ulipo hata mia hauna! Wazazi uko kijijini wamevaa matambala hata kuwanunulia mitumba uwezo huo huna!!! Bando lenyewe unatumia WiFi ya kanisa kwakua unapanga kachumba kamoja pembeni ya kanisa!! Jitafakali ndugu fanya kazi za halali achana na story za kwenye vijiwe vya kachori.
Umelezea uhalisia wa maisha yako ili kuhisi tunalingana ujifariji, pole nyie ndo mnfanya tunaitwa mipang'ang'a mbumbumbu
 
Leo wachezaji zaidi ya sita Majeruhi.

Lakini hawataki hata kutoa taarifa za maendeleo yao.

Hawa jamaa Wana mambo ya KISHAMBA sana.

MANURA.
Kakolanya.
Inonga.
KAPOMBE.
Kanute nk

Lakini hawataki kusema chochote.
KAMA NI MIND GAME NI USHAMBA KUSINGIZIA MAJERAHA NK.

HATA UWE NA MIND GAME KIASI GANI KAMA KIKOSI KIBOVU NI KIBOVU TU.
 
Back
Top Bottom