Ila sisi wadada jamani...

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ndiyo nikaelewa, anhaaa' hawa watu kumbe wapo pamoja, nikajiambia tu huyu dada kwa lile jicho kanikata walaqhi' huyu pembeni yangu itakuwa ni kifaa yake, angekuwa brother ake asingeni maindi vile.
Dah walikua wanatafuta "Nyumba ya Wenyeji" halafu wewe ukawakatili...wenzio walishaanza kupata joto tayari! Ushindwe
 
Jealousy is when you count someone else's blessings instead of your own.Dada inaonekana huyo demu ulimzidi kila kitu.
 
Hahahaha mbona makasiriko usiku huu? Niko hapa Dance Club namalizia pombe yangu nikalale
Dance Club ndiyo kanisa gani? Na ibada zake zinafanyika muda gani??
 
Mmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…