Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 7,899
- 10,415
Nimejaribu kuingia kwenye tovuti ya USAID imeandika: Thank you for your service.
www.usaid.gov
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa wanajitengenezea enemies kila kona. Nadhani hawajui kwamba kuna watu wako tayari kujitoa mhanga ilimradi binadamu wengine waishi bila kufedheheshwa. Ngoja tuone hii safari ya Trump na Musk itaishia wapi. >>>https://www.cnn.com/2025/02/04/politics/musk-washington-chaos?cid=ios_app<<<Nimejaribu kuingia kwenye tovuti ya USAID imeandika: Thank you for your service.
View attachment 3227281
U.S. Agency for International Development
www.usaid.gov
Asee kuna watu wamezoea msaada mpaka wanaona ni haki yao.Hawa jamaa wanajitengenezea enemies kila kona. Nadhani hawajui kwamba kuna watu wako tayari kujitoa mhanga ilimradi binadamu wengine waishi bila kufedheheshwa. Ngoja tuone hii safari ya Trump na Musk itaishia wapi.
Maadui sio wapokea misaada; ni civil servants wa Marekani wa agencies zote! At least watumishi million mbili wamepokea emails za kuwapa offer ya wao wenyewe kujiuzulu by February 6, 2025. Hata hivyo, Mahakama imetoa temporary injunction mpaka jumatatu, hearing ya shauri itakapofanyika! >>>Judge delays deadline for federal workers to accept Trump administration’s resignation offer - NPR Federal judge pauses deadline for Trump administration's 'Fork' resignation offer until Monday — NPR<<<Asee kuna watu wamezoea msaada mpaka wanaona ni haki yao.
Sasa uadui wa nini?
Mambank apyaAsee kuna watu wamezoea msaada mpaka wanaona ni haki yao.
Sasa uadui wa nini?
Huwa wanasema Mchina, Mrusi na waarabu ni wazuri.Hawa jamaa wanajitengenezea enemies kila kona. Nadhani hawajui kwamba kuna watu wako tayari kujitoa mhanga ilimradi binadamu wengine waishi bila kufedheheshwa. Ngoja tuone hii safari ya Trump na Musk itaishia wapi.
Binafsi wala sijali cha USAID Wala nini? Mwamba Magufuli aliishaniaminisha kuwa nitembee kifua mbele nchi yangu ni tajiri!!Asee kuna watu wamezoea msaada mpaka wanaona ni haki yao.
Sasa uadui wa nini?