Ila tuache masihara huyu dada mzuri aiseeeh.

Irene uwoya, so beautiful aiseeh. Au nakosea vidume wenzangu?

View attachment 2925554
Haujakosea kwani kuna msemo 'uzuri upo kwenye jicho la mtu.' Tafadhari, jaribu kuchamua huo uzuri wake, mfano, midomo, miguu, na kadha wa kadha.
Halafu mbona eneo la V pamevimba kidogo, au ndio uzuri wenyewe? Hajabana tumbo kweli na yale mamikanda yao?
 
Japokua uzuri uko machoni kwa anae tazama lakini huyo malaya ni wa kawaida Sana huyo hana maajabu yoyote ujichanganya na kile kipili pili cha kwenye "koneksheni" ndio namuonaga wa hovyo kabisa
 
Huwajui wazuri wewe, mtu kaibandika mwili mzima, uzuri unatoka wapi hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…