Ila UTT AMISS ni bonge la mchongo

Ila UTT AMISS ni bonge la mchongo

WANGAMBA

Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
64
Reaction score
102
Ila UTT ni bonge la mchongo mwaka jana nimevunja kibubu changu cha chuma nikakuta m8 na usheee pesa nilijibanabana mwenyewe hamna kilichoongezaka,

Mwaka huu 15/05/2022 nikafungua account UTT nilianza na laki 5 na baada ya hapo nikaendelea na utaratibu kama naweka kwenye kibubu nikipata 10k au 20 naweka kulingana na harakati zitakavyokua mpaka muda huu kuna ongezeko la sh 5117 pesa ambayo ningeweka kwenye kibubu nisingeipata hata buku wadau kama itakupendeza ifanye UTT AMIS iwe kibubu chako

8DFA90F8-AC5C-44B3-A3C9-A1D7CB8D31B9.jpeg
 
Mmh yasijekunita ya D9 hapaa napata mawenegee
 
UTT AMISS Ni Nini ningependa kujua? Tofauti na hisa mfano za CRDB au TCC ni Nini? Na vipi kuhusu DSE?
Utafauti ni huu CRDB unatakiwa ukanunue hisa kwao au mawakala wa soko la hisa wakutafutie wauzaji ila wewe ununue so kama ukinunua hisa za M 1 pesa yako yote itakuwa kwenye hisa za crdb na ukitaka kuchukua pesa yako itakulazim utafute wateja wa kununua hisa au dalali akutafutie uuze wakat UTT kama ukiweka M1 ukanunua vipande kwao utapata vipande kulingana na mfuko huska na wao pesa yako wataigawa sehem za kuwekeza labda crdb nmb tcc tblna wengine mpaka bond za serikal faida ya kwanza hatari ya soko sio kubwa sana kwa sababu huwek mayai yote sehem moja na pili ukitaji kuuza vipande utawauzia hao hao utt bila kuhangaika kutafuta masoko kuna baadhi ya mifuko itachukua siku 10 na mingine siku 3 za kazi wakati kuna watu wako wana hisa za voda huu mwaka wa 3 nahisi wamekosa wateja
 
Ila UTT ni bonge la mchongo mwaka jana nimevunja kibubu changu cha chuma nikakuta m8 na usheee pesa nilijibanabana mwenyewe hamna kilichoongezaka,

Mwaka huu 15/05/2022 nikafungua account UTT nilianza na laki 5 na baada ya hapo nikaendelea na utaratibu kama naweka kwenye kibubu nikipata 10k au 20 naweka kulingana na harakati zitakavyokua mpaka muda huu kuna ongezeko la sh 5117 pesa ambayo ningeweka kwenye kibubu nisingeipata hata buku wadau kama itakupendeza ifanye UTT AMIS iwe kibubu chako

View attachment 2298616

Nimejiunga This Year Nategemea Mambo Mazuri Mbeleni[emoji120]
 
Back
Top Bottom