miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,730
Kweli. Yaani kuna watu ni maarufu Instagram tuu.Zaidi ya Instagram hakuna sehemu nyingine anakojulikana.
Umaarufu wake aliujengea huko na utapotelea huko.
Kwa asili ebitoke ni mkerewe sio mhaya
Loh.. tucho kipaji cha kusahau watu... hadi huyu dada yetu tumemtupia kampuni...
Whos next. ?..
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimsahau IdrisKUMBE NA WEWE MKUU ULINOTICE HII KITU HAKUWA NA UWEZO KABISA LAKINI NASHANGAA WATU WANAMUELEWA
wamesahaulika wakina Bambo,Mtanga na Kingwendu😁😁 itakua huyo star uchwara wa kupaka mirangi rangi usoni....Loh.. tucho kipaji cha kusahau watu... hadi huyu dada yetu tumemtupia kampuni...
Whos next. ?..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijawahi kumuelewa hata siku mojaIvi kuna mtu mwenye akili timamu alikuwa anamuelewa yule jamani
hata mimi mwenyew hajawahi kunichekesha kingine hii fani ni ngumu watu saa hii wanahali mbaya za kimaisha wakumchekesha ni naniIla kusema kweli hawajawahi kunichekesha hawa watu, sijui ni vile nina kiwango kikubwa cha stress kuzidi uwezo wao wa kuchekesha[emoji848]
Huko shule watafundishwa na nani? Nahisi hao wakufunzi wa masuala ya sanaa na wao hawajahi kuwa wasaniiWasanii warudi shule ili vipaji vyao wazidishe ubunifu na kupunguza kuchuja
Namkubali sana chauro
HAWA JAMAA NDIYO WANAOJUA HII KITU
YUKO VIZURI MCHIZIN
Namkubali sana chauro
Hawana tu viwango vya uchekeshaji, mbona mr.Bean bado anatuchekesha pamoja na vyuma kutukazia?hata mimi mwenyew hajawahi kunichekesha kingine hii fani ni ngumu watu saa hii wanahali mbaya za kimaisha wakumchekesha ni nani