Wajumbe ndiyo Kada usiyopaswa kuiamini japo kwa 10%.
Kada hiyo ndiyo yenye uwezo wa kukuua kwa shinikizo la damu endapo afya yako ni mgogoro.
Wajumbe ni watu ambao wao neno lao huwa ni moja pekee, tupo pamoja.
Wajumbe kukulaza na viatu, kwao siyo suala la ajabu bali ni kawaida tu. Mfano mzuri anautambua mchawi Yericko Nyerere na Ntobi. Wawili hao hadi wakati huu hawajulikani walipo kwa sababu ya hao hao Wajumbe.