Ila wanaume ki ukweli wengi sio.( kwa wanawake tu)

Smile

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2011
Posts
15,347
Reaction score
11,619
Mapenzi ya dhati hawana.
Wewe funga tu macho ingia kwenye ndoa
utakalolikuta mshukuru mola na uvumilie
loh
sikutegemea kama yangekuwa haya? Mtu kaolewa kumbe mwanaume ana watoto 9 wa nje?
Sio kwamba naponda mtu kuoa akiwa na watoto wa nje ila 9 tena mama tofauti?
Bado mke yupo leba kujifungua kaleta mwanamke mwingine ndani?
Sasa hapo daaaah si heri uishi peke yako jamani?
Hapo ni msaada au ni mzigo wa maisha?
Ee mungu ninusuru maana wa kwangu kaniambia ana binti mmoja isiwe ni kipa tu huyo wachezaji wapo uwanjani.
 
Dayuuum! Jamaa inaelekea mbegu zake ziko potent kinoma noma.
 
sijui kwa nini
lakini watanzania huwa hawaelewi kabisa vitu vya msingi na taarifa zinazotangazwa mara kwa mara
takwimu rasmi ni kuwa watanzania wenye 'matatizo ya akili ' ni zaidi ya milioni moja na nusu.....
now go figure....
 
sijui kwa nini
lakini watanzania huwa hawaelewi kabisa vitu vya msingi na taarifa zinazotangazwa mara kwa mara
takwimu rasmi ni kuwa watanzania wenye 'matatizo ya akili ' ni zaidi ya milioni moja na nusu.....
now go figure....
ujue mbaya boss kamdanganya dada wa watu mtoto ni mmoja wamejenga wote tena mdada ndo kachangia zaidi maana jamaa hana kitu sema kiwanja kilikuwa chake. sasa toto tisa bado anaendelea huyu dada ana kitu kweli hapo?
 
sijui kwa nini
lakini watanzania huwa hawaelewi kabisa vitu vya msingi na taarifa zinazotangazwa mara kwa mara
takwimu rasmi ni kuwa watanzania wenye 'matatizo ya akili ' ni zaidi ya milioni moja na nusu.....
now go figure....

The boss unamaanisha na huyo ni sehemu ya hao wenye 'matatizo ya akili '? Lohh!
 
ah nyie wanawake mkiambia tule gud time tuu na msitutegemee kuwa gud husband mwakataa ...haya sasa ndio yawakuteni hayo
 
sijui tutumie vipimo gani sasa?
 
Haswaaaa....kama mtu unao uwezo..zaa wengi uwezavyo. Vitabu vyote vya dini tunavyoviamini vimesupport hili suala la kuzaana!!
sasa wataishije watoto wote hao?
 
Huyu jamaa akifariki kaburi lake liandikwe shujaa halaf serikali iweke siku 2 za maombolezo. Lengo kubwa la mwanaume ni kueneza DNA.
 
....Hehehehehe NN usikute kabambikiwa labda watoto wake wa kweli ni watatu tu au wanne

:focus:

You know what...you could be right! Nowadays you can't put anything past anybody. These females lie a lot too.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…