Ila yule Kevin Kijiri beki wa kulia Singida Fountain alistahili kabisa kuwepo AFCON

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kwa sasa sijaona beki wa kulia zaidi ya huyu mwamba, hakuna cha Yao Yao, wala Kapombe, wala Lusajo, hakuna.

Kijiri ambaye aliwahi kuwa beki wa kulia wa KMC ana nguvu, ana spidi yaan mnyama ngiri mjinga tu kwake halaf ana kimo cha boli, lakini eti AFCON ameenda Lusajo, naamini Kijiri akichezea Simba au Yanga hawezi kukosa Stars, never.

Simba, nawaomba kabla dirisha halijafungwa huyu mtu anatosha kabisa mbavu ya kulia, mpelekeni Duchu kwa mkopo huko.Msiseme sikuwaambia.
 
Je, ball control anayo au huwa anakimbia tu ilimradi ameenda mbele? Hata mimi mwanzoni nilikuwaga namuona bonge la mchezaji, ila baadae nikagundua ni kweli ana nguvu na mbio ila control na umaliziaji wake wa krosi siyo mzuri!
 
Je, ball control anayo au huwa anakimbia tu ilimradi ameenda mbele? Hata mimi mwanzoni nilikuwaga namuona bonge la mchezaji, ila baadae nikagundua ni kweli ana nguvu na mbio ila control na umaliziaji wake wa krosi siyo mzuri!
Hivyo vinatibika mkuu kwa walimu wazuri wa soka ......ila namkubali pia ni beki mzuri wa kulia na ana spirit sana ya kupambana safi..
 
Usimtathimini kwenye mechi yenye presha kama hiyo, Jana hata Kaseke alijitutumua kama Kevin De Bruyne.

Ukitaka kumfuatilia angalie akicheza na level zao kama kagera sugar, coastal union n.k

Utakuja kuamini ni mchezaji wa kawaida sana huyo.
 
Usimtathimini kwenye mechi yenye presha kama hiyo, Jana hata Kaseke alijitutumua kama Kevin De Bruyne.

Ukitaka kumfuatilia angalie akicheza na level zao kama kagera sugar, coastal union n.k

Utakuja kuamini ni mchezaji wa kawaida sana huyo.
Huyu kaseke mwananchi wa zamani anajua kupiga penati na anajiamini sana .
 
Usimtathimini kwenye mechi yenye presha kama hiyo, Jana hata Kaseke alijitutumua kama Kevin De Bruyne.

Ukitaka kumfuatilia angalie akicheza na level zao kama kagera sugar, coastal union n.k

Utakuja kuamini ni mchezaji wa kawaida sana huyo.
Kijiri binafsi nimemfatilia mechi nyingi tu dogo yuko vzr , anza kumfanyia scouting
 
Mbio na nguvu pekee havitoshi tena kwa kukamia mechi.... Aongeze maarifa na ufundi atafika levo za hao unaejaribu kumfananisha nae
 
Kijiri hata mimi namkubali.
Jamaa mbavu ya kulia anakichafua kinoma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…