iamwangdamin
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 864
- 1,798
well done comrade...Wilaya ya Ilala na jimbo zima la Ilala tutasimama na mama yetu kipenzi Dr. Samia Hassan Suluhu , wana Ilala tulimpokea katibu Mwenezi taifa Ndg. CPA Amos Makala wilayani Ilala , alisindikizwa na Viongozi wa wilaya na Mkoa . Mkuu wa mkoa Albert Chalamila , Mhe. Upendo Peneza , Mzee wetu Abbas Mtemvu , Mkuu wa wilaya ya Ilala na mwenezi Ally Bananga . Mambo ni moto Ilala , Mama Samia hana mpinzani kwani tunapita nae 2025 .
Eng. Adam Magesa Ekingo
Mjumbe KIVUKONI CCM
+255686525185
iamwangdamin
Hahitaji kura maana tume ya uchaguzi ni yake, anaiagiza tu imtangaze kwa kura ngapi, na wabunge wa ccm na madiwani anatoa tu idadi aitakayo. Kama umehongwa ili kuja kusaka wapiga kura, jua watu wanaojitambua hawana muda wa kushiriki huu uhuni utwao uchaguzi.Wilaya ya Ilala na jimbo zima la Ilala tutasimama na mama yetu kipenzi Dr. Samia Hassan Suluhu , wana Ilala tulimpokea katibu Mwenezi taifa Ndg. CPA Amos Makala wilayani Ilala , alisindikizwa na Viongozi wa wilaya na Mkoa . Mkuu wa mkoa Albert Chalamila , Mhe. Upendo Peneza , Mzee wetu Abbas Mtemvu , Mkuu wa wilaya ya Ilala na mwenezi Ally Bananga . Mambo ni moto Ilala , Mama Samia hana mpinzani kwani tunapita nae 2025 .
Eng. Adam Magesa Ekingo
Mjumbe KIVUKONI CCM
+255686525185
iamwangdamin
achaga upotoshaji gentleman,Hahitaji kura maana tume ya uchaguzi ni yake, anaiagiza tu imtangaze kwa kura ngapi, na wabunge wa ccm na madiwani anatoa tu idadi aitakayo. Kama umehongwa ili kuja kusaka wapiga kura, jua watu wanaojitambua hawana muda wa kushiriki huu uhuni utwao uchaguzi.
Narudia tena, mazombie ndio watajitokeza kushiriki kwenye uchaguzi ambao mwenyekiti wa ccm ameshaamua nani atangazwe mshindi bila kujali box la kura linasema nini.achaga upotoshaji gentleman,
tume huru ya uchaguzi ni mali ya wananchi wote, na inaundwa kwa mujibu wa katiba ya Tanzania 🐒
haiundwi au iko pale ili ikufurahishe wew 🤣
wewe wadhihaki na kuwaita waTanzania majina yote mabaya uwezavyo, wanakuona, wanakuskia na wanawajua vizuri viongozi na watu wote wa mihemko na matusi mnavyowadharau.....Narudia tena, mazombie ndio watajitokeza kushiriki kwenye uchaguzi ambao mwenyekiti wa ccm ameshaamua nani atangazwe mshindi bila kujali box la kura linasema nini.
Box gani la kura? Hapa Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Mimi sifagilii huo uchaguzi wa kihayawani, sasa ni wapi nitasubiri kura za yoyote?wewe wadhihaki na kuwaita waTanzania majina yote mabaya uwezavyo, wanakuona, wanakuskia na wanawajua vizuri watu wa mihemko na matusi mnavyowadharau.....
wamejipanga vizuri, wanawasubiri kwenye sanduku la kura, wawanyooshe ili muyaite hayo majina mabaya kwa lugha zenu zote vizuri 🤣
watawanyoosha,
na mwisho wa siku wataamua kadiri ya utashi wao na kumchagua diwani mbunge na Rais mwenye sifa, mipango na nia ya kuwaletea wanainchi Maendeleo 🐒
Uchaguzi siku zote umekuwa ni wa uhuru na haki. CCM MBELE KWA MBELE. 2025 TUNAPITA NA MAMA SAMIANarudia tena, mazombie ndio watajitokeza kushiriki kwenye uchaguzi ambao mwenyekiti wa ccm ameshaamua nani atangazwe mshindi bila kujali box la kura linasema nini.
Hakikisha unapata kadi yako ya kielectronic ya CHAMA CHA MAPINDUZI , KURA yako moja ya CCM ni mhimu comradeBox gani la kura? Hapa Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Mimi sifagilii huo uchaguzi wa kihayawani, sasa ni wapi nitasubiri kura za yoyote?
Nasema hivi, hizo chaguzi za kishenzi mtawaona mafala, watu tunaojitambua hatuna muda tena wa kushiriki huo ushenzi. Machafuko ama mapinduzi ya kijeshi ndui tatarudisha heshima ya box la kura.Uchaguzi siku zote umekuwa ni wa uhuru na haki. CCM MBELE KWA MBELE. 2025 TUNAPITA NA MAMA SAMIA
Nipate kadi ya chama la majizi.Hakikisha unapata kadi yako ya kielectronic ya CHAMA CHA MAPINDUZI , KURA yako moja ya CCM ni mhimu comrade
Uko serious au unatania? Siku zote gani unazosemea?. Acha kuwa punguani na kujizima data, umesahau uchafuzi wa 2019 pamoja na 2020Uchaguzi siku zote umekuwa ni wa uhuru na haki. CCM MBELE KWA MBELE. 2025 TUNAPITA NA MAMA SAMIA
Halafu hawa matter core wanatuona kama wajinga hatuna cha kuwafanya, aisee kuna siku hawataamini macho yao, ni suala la muda tu, na sio mbaliNipate kadi ya chama la majizi.
Kabisaaa, hawa mafala wanakera sana ipo siku mateke ya shingo yatatembea live😂😂😂#kataamachawanivichaa
#Ilalahaiungimkonomafisadi
#chamachamambuzihatukitaki
#kizurichajiuzakibayachajitembeza