Uchaguzi 2020 Ilani na Kauli mbiu (Slogan) za vyama vya siasa: Je, tuna ufahamu kiasi gani?

Uchaguzi 2020 Ilani na Kauli mbiu (Slogan) za vyama vya siasa: Je, tuna ufahamu kiasi gani?

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Ilani ya chama cha siasa
Ni mwongozo na mkataba kati ya chama cha siasa na wapiga kura Kwamba chama cha kisiasa kinamwahidi mpiga kura mambo kitakachomfanyia kama kikipata ridhaa yake kupitia sanduku la kura kwa kipindi fulani.

- Kwamba huna nini na nitakupatia nini
- Kwamba umekosa nini na nitakupa nini
- Kwamba umepungukiwa nini na nitakuongezea nini katika kipindi chote cha ridhaa ya uongozi wa chama husika

Hitaji kubwa la mwananchi kwenye ilani husika ni kama:
- Elimu bora kwa wote
- Maji safi na salama kwa wote
- Miundombinu inayoweza kutumika nyakati zote
- Nishati bora na nafuu kwa wote
- Lishe bora kwa wote
- Afya na matibabu bora na nafuu kwa wote
- Uhuru na haki kwa wote
- Maendeleo ya watu na vitu nknk

Hivyo basi chama cha siasa kinapokuja kuomba ridhaa ya uongozi ni lazima kije na ILANI inayogusa hayo maeneo. Na kikishapata ridhaa ni LAZIMA kitekekeze ilani husika kwa vitendo katika muda wake wote wa ridhaa. Muda wa ridhaa ukishatimia inabidi chama kirudi kutoa mrejesho wa mkataba wake wa ilani na wapiga kura:

- Chama kiliahidi nini na kimefanya nini
- Chama kilifaulu wapi na kimefeli wapi na kwasababu zipi
- Si jambo la afya kama chama kikitoa ahadi mpya wakati kuna ahadi za nyuma hakijaziteKeleza Walau kwa asilimia 50

Slogan za vyama
Hizi ni kichocheo cha ilani husika! Ni kauli mbiu..hizi ndio huhamasisha matokeo vitendo ya ilani katika vyama vya siasa
Kwa mfanoa hapo nyuma kwa chama cha CCM kilikuwa na slogan ya ARI MPYA NGUVU MPYA NA KASI MPYA, hii ilikuja wakati wa JK wananchi wakiwa wamekatishwa tamaa na uongozi uliopita wa BM. Na baada ya hapo ikaja ARI ZAIDI..NGUVU ZAIDI NA KASI ZAIDI.
Baada ya kutoka hapo tukaja na SLOGAN ya HAPA KAZI TU.

Kuna shida kubwa kwenye hizi kauli mbiu...Je zinatungwa na chama ama na mgombea? Je zinaakisi kilichomo kwenye ilani ama ni mapenzi binafsi ya mgombea? Hapa kazi tu ni slogan tata..kuanzia kwa wafanyakazi, wakulima mpaka wafanyabiashara!

Tukiwa kwenye awamu nyingine ya kuomba ridhaa ya wananchi
Je, ilani ya chama tawala ni ipi?
Je, slogan mpya ni ipi?
Kuelewa ni jambo la kwanza na kutekeleza ni jambo lingine!
ILANI NA KAULI MBIU NI LILA NA FILA...lakini mpaka ujue maana yake
 
Hahaha hayo maneno tu, hakuna mkataba wa mwananchi na serikali.

Niko serikalini muda mrefu sana, kila mtu anatusua kivyake.

Hivi unaifahamu CCM? Ingia ujifunze.
 
Nchi hii hamna mfumo madhubuti,na nashangaa kwanini tunafanya kampeni ili hali toka mchakato unaanza kila mtu alikuwa anajua kura yake ni kwa nani ( kiufupi saivi tuna makundi makubwa ya wahafidhina)
 
Ilani ya chama cha siasa
Ni mwongozo na mkataba kati ya chama cha siasa na wapiga kura Kwamba chama cha kisiasa kinamwahidi mpiga kura mambo kitakachomfanyia kama kikipata ridhaa yake kupitia sanduku la kura kwa kipindi fulani.

- Kwamba huna nini na nitakupatia nini
- Kwamba umekosa nini na nitakupa nini
- Kwamba umepungukiwa nini na nitakuongezea nini katika kipindi chote cha ridhaa ya uongozi wa chama husika

Hitaji kubwa la mwananchi kwenye ilani husika ni kama:
- Elimu bora kwa wote
- Maji safi na salama kwa wote
- Miundombinu inayoweza kutumika nyakati zote
- Nishati bora na nafuu kwa wote
- Lishe bora kwa wote
- Afya na matibabu bora na nafuu kwa wote
- Uhuru na haki kwa wote
- Maendeleo ya watu na vitu nknk

Hivyo basi chama cha siasa kinapokuja kuomba ridhaa ya uongozi ni lazima kije na ILANI inayogusa hayo maeneo. Na kikishapata ridhaa ni LAZIMA kitekekeze ilani husika kwa vitendo katika muda wake wote wa ridhaa. Muda wa ridhaa ukishatimia inabidi chama kirudi kutoa mrejesho wa mkataba wake wa ilani na wapiga kura:

- Chama kiliahidi nini na kimefanya nini
- Chama kilifaulu wapi na kimefeli wapi na kwasababu zipi
- Si jambo la afya kama chama kikitoa ahadi mpya wakati kuna ahadi za nyuma hakijaziteKeleza Walau kwa asilimia 50

Slogan za vyama
Hizi ni kichocheo cha ilani husika! Ni kauli mbiu..hizi ndio huhamasisha matokeo vitendo ya ilani katika vyama vya siasa
Kwa mfanoa hapo nyuma kwa chama cha CCM kilikuwa na slogan ya ARI MPYA NGUVU MPYA NA KASI MPYA, hii ilikuja wakati wa JK wananchi wakiwa wamekatishwa tamaa na uongozi uliopita wa BM. Na baada ya hapo ikaja ARI ZAIDI..NGUVU ZAIDI NA KASI ZAIDI.
Baada ya kutoka hapo tukaja na SLOGAN ya HAPA KAZI TU.

Kuna shida kubwa kwenye hizi kauli mbiu...Je zinatungwa na chama ama na mgombea? Je zinaakisi kilichomo kwenye ilani ama ni mapenzi binafsi ya mgombea? Hapa kazi tu ni slogan tata..kuanzia kwa wafanyakazi, wakulima mpaka wafanyabiashara!

Tukiwa kwenye awamu nyingine ya kuomba ridhaa ya wananchi
Je, ilani ya chama tawala ni ipi?
Je, slogan mpya ni ipi?
Kuelewa ni jambo la kwanza na kutekeleza ni jambo lingine!
ILANI NA KAULI MBIU NI LILA NA FILA...lakini mpaka ujue maana yake
Nikuonjeshe tu utamu kidogo wa ilani ya CCM. Mapato yatokanayo na madini yameongezeka kutoka bilion 194 hadi bilion 346 mwaka 2016 hadi 2020.
 
Ccm wanajuta Sana kutoukimbiza mwenge check akili za watz zilivofinguka uoga tena kwishney watu wanapigwa mabomu wametulia wanaangalia tu sijui this time police watategemea nini tena mbaya Sana kuongoza watu kwa kutegemea kutumia nguvu
 
Ilani ya chama cha siasa
Ni mwongozo na mkataba kati ya chama cha siasa na wapiga kura Kwamba chama cha kisiasa kinamwahidi mpiga kura mambo kitakachomfanyia kama kikipata ridhaa yake kupitia sanduku la kura kwa kipindi fulani.

- Kwamba huna nini na nitakupatia nini
- Kwamba umekosa nini na nitakupa nini
- Kwamba umepungukiwa nini na nitakuongezea nini katika kipindi chote cha ridhaa ya uongozi wa chama husika

Hitaji kubwa la mwananchi kwenye ilani husika ni kama:
- Elimu bora kwa wote
- Maji safi na salama kwa wote
- Miundombinu inayoweza kutumika nyakati zote
- Nishati bora na nafuu kwa wote
- Lishe bora kwa wote
- Afya na matibabu bora na nafuu kwa wote
- Uhuru na haki kwa wote
- Maendeleo ya watu na vitu nknk

Hivyo basi chama cha siasa kinapokuja kuomba ridhaa ya uongozi ni lazima kije na ILANI inayogusa hayo maeneo. Na kikishapata ridhaa ni LAZIMA kitekekeze ilani husika kwa vitendo katika muda wake wote wa ridhaa. Muda wa ridhaa ukishatimia inabidi chama kirudi kutoa mrejesho wa mkataba wake wa ilani na wapiga kura:

- Chama kiliahidi nini na kimefanya nini
- Chama kilifaulu wapi na kimefeli wapi na kwasababu zipi
- Si jambo la afya kama chama kikitoa ahadi mpya wakati kuna ahadi za nyuma hakijaziteKeleza Walau kwa asilimia 50

Slogan za vyama
Hizi ni kichocheo cha ilani husika! Ni kauli mbiu..hizi ndio huhamasisha matokeo vitendo ya ilani katika vyama vya siasa
Kwa mfanoa hapo nyuma kwa chama cha CCM kilikuwa na slogan ya ARI MPYA NGUVU MPYA NA KASI MPYA, hii ilikuja wakati wa JK wananchi wakiwa wamekatishwa tamaa na uongozi uliopita wa BM. Na baada ya hapo ikaja ARI ZAIDI..NGUVU ZAIDI NA KASI ZAIDI.
Baada ya kutoka hapo tukaja na SLOGAN ya HAPA KAZI TU.

Kuna shida kubwa kwenye hizi kauli mbiu...Je zinatungwa na chama ama na mgombea? Je zinaakisi kilichomo kwenye ilani ama ni mapenzi binafsi ya mgombea? Hapa kazi tu ni slogan tata..kuanzia kwa wafanyakazi, wakulima mpaka wafanyabiashara!

Tukiwa kwenye awamu nyingine ya kuomba ridhaa ya wananchi
Je, ilani ya chama tawala ni ipi?
Je, slogan mpya ni ipi?
Kuelewa ni jambo la kwanza na kutekeleza ni jambo lingine!
ILANI NA KAULI MBIU NI LILA NA FILA...lakini mpaka ujue maana yake
RUNGWE : "UBWAWA TU"
 
Tuzijadili na bendera pia na maana yake.
Chama Cha Mapinduzi, kimewapindua wamiliki halali wa chama ambao ni wakulima na wafanyakazi, na kimekuwa chama Cha mabepari na matajiri, wakulima wanaambulia kukopwa mazao yao ie wakulima wa pamba , korosho na kadhalika.
Wafanyakazi wanaambulia kudhulumiwa haki na stahili zao. Hamna nyongeza ya mishahara, wanna posho Wala mafunzo kazini.
 
Nilijitahidi kuijua na kuifahamu pia..yaliponishinda nikabwaga manyanga mnamo May mosi 1984
Mshana Jr Bila Shaka wewe ni Muhenga sana 1984. Kipindi hicho mfumo ulikuwa wa Chama kimoja nini kilikufanya umwage manyanga na ulipomwaga manyanga ulihamia wapi kiitikad na Sera gani zilikuvutia huko??

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Tuzijadili na bendera pia na maana yake.
Chama Cha Mapinduzi, kimewapindua wamiliki halali wa chama ambao ni wakulima na wafanyakazi, na kimekuwa chama Cha mabepari na matajiri, wakulima wanaambulia kukopwa mazao yao ie wakulima wa pamba , korosho na kadhalika.
Wafanyakazi wanaambulia kudhulumiwa haki na stahili zao. Hamna nyongeza ya mishahara, wanna posho Wala mafunzo kazini.

Chama sio Cha wafanyakazi na wakulima... Bali Ni watanyabiashara, walanguzi na wajasiliamali wa kisiasa...
 
Kila aliyeko au anayeingia huko anatafuta ulaji tu, we uliingia siku nyingi kama umetoka ccm 1984.
Vita ya uhujumu uchumi chini ya waziri mkuu hayati Edward Moringe Sokoine ilitumiwa vibaya na wapigaji ndani ya CCM
 
Back
Top Bottom