Ilani ya CCM haitekelezeki.

Ilani ya CCM haitekelezeki.

mr mkiki

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2016
Posts
5,588
Reaction score
11,668
Tumekuwa tukizani mpira ni mchezo wa siasa ni kosa kimantiki.

Kuna watu sio wajinga wala sio werevu lakini tunapaswa kuto kuwapuuza ujinga wao. Makonda si kwamba ni mjinga au werevu lakini kila anapokosea lazima tumwambie.

Timu ya taifa ni timu ya watanzania sio ya CCM wala chadema, CUF n.k ,Makonda na wenzake wanapaswa kuelewa hilo.

Makonda aelewi mpira na kanuni zake. Na kuzani wanavyofanya kwenye chaguzi ndio kanuni hizo hizo kwenye mpira.

Hakuna ambaye hajui kuwa chama cha Mapinduzi ni wezi kwenye chaguzi za hapa nchini ,sasa mpira hauna hilo.

Mpira ni talent sio ujanjanja tu kama KURA za kwenye chaguzi.
IMG_20190628_094301.jpeg
IMG_20190628_093725.jpeg
IMG_20190628_010254.jpeg
 
Starz ingeweza kushinda kama CCM. tatizo, polisi walibaki akaenda Makonda peke yake!
 
Ila ya Chadema inatekelezeka na tunaona namna mnavyoitekeleza kwa kuporomosha matusi mitandaoni.
 
Back
Top Bottom