[FONT=AHIFDO+Tahoma]ILANI YA CCM YA 2005-2010 INASEMA:[/FONT]
[FONT=AHIFDO+Tahoma]Barabara [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]44. Kipindi cha Awamu ya Tatu kimeshuhudia ujenzi na uboreshaji mkubwa wa barabara nchini. Katika kipindi cha miaka mitano cha 2005-2010, Serikali chini ya uongozi wa CCM zitatekeleza yafuatayo:- [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](a) Kuendelea kuimarisha Mfuko wa Barabara (Tanzania Road Fund). [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](b) Kukamilisha ukarabati wa barabara zote ambao unaendelea na ujenzi kwa kiwango cha lami ambao umekwishaanza katika barabara kuu. [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]Barabara hizo ni Dodoma-Manyoni, Manyoni-Singida, Singida-Shelui, Shelui-Igunga, Igunga-Nzega-Ilula; Muhutwe-Kagoma; Nangurukuru-Mbwemkulu-Mingoyo; Mkuranga-Kibiti; Pugu-Kisarawe; [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]Chalinze-Morogoro-Melela; Tunduma-Songwe; [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]Kiabakari-Butiama; Dodoma-Morogoro; [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]Kagoma-Biharamulo-Lusahunga; Tabora-Kaliua-Malagarasi- iUvinza- Kigoma; [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]Usagara-Chato-Biharamulo na Ndundu-Somanga. [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](c) Kuendelea kuimarisha barabara nchini zitakazounganisha nchi yetu na nchi jirani kwa barabara za lami; zitakazounganisha Makao Makuu ya Mikoa yote pia kwa barabara za lami na kuunganisha Makao Makuu ya Wilaya zote kwa barabara zinazopitika wakati wote; [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](d) Kuanza ujenzi kwa kiwango cha lami barabara zifuatazo:- [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]Tunduma-Sumbawanga;Marangu-Tarakea-Rongai; Minjingu-Babati-Singida; Rujewa-Madibira-Mafinga; Mbeya-Chunya-Makongolosi; Msimba-Ikokoto-Mafinga; Arusha-Namanga; Tanga-Horohoro; na ukarabati wa Barabara ya Kilwa (DSM), Barabara ya Mandela (DSM) na Barabara ya Sam Nujoma (DSM). [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](e) Kuzifanyia upembuzi yakinifu na usanifu barabara zifuatazo kwa ajili ya kujengwa kwa kiwango cha lami: Maganzo-Maswa-Bariadi-Mkula-Lamadi; Babati-Dodoma-Iringa; Sumbawanga-Kigoma-Nyakanazi; Musoma-Fort-Ikoma; Korogwe-Handeni-Kilosa-Mikumi; Nzega-Tabora-Sikonge-Chunya; Mtwara-Masasi-Songea-Mbamba Bay; [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]Manyoni-Itigi-Tabora; Ipole-Mpanda-Kigoma na Bagamoyo-Saadani. [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](f) Kuhimiza maandalizi na ujenzi wa Daraja la Kigamboni chini ya uongozi wa Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF) ili kuunganisha Kigamboni na Jiji la Dar es Salaam; [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](g) Kuhakikisha upatikanaji wa kivuko kipya cha Kigongo-Busisi (Mwanza); [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](h) Kukamilisha ujenzi wa daraja jipya la Mpiji ambalo litawezesha njia mbadala ya Dar es Salaam-Tanga. [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](i) Kufanya upembuzi yakinifu, usanifu na ujenzi wa daraja la Mto Kilombero na kukamilisha ujenzi wa daraja la Mto Mwatisi katika Mkoa wa Morogoro. [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](j) Kufanya usanifu wa daraja jipya la Ruvu; [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](k) Kuendelea kuandaa mazingira mazuri ya kuishirikisha sekta binafsi katika ujenzi na matengenezo ya barabara kwa kutumia mfumo wa Jenga, Endesha na Kabidhi (BOT). [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](l) Kuanza ujenzi wa Daraja la Umoja (Tanzania na Msumbiji). [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](m) Kuanzishwa Programu ya Taifa ya Usafiri Vijijini[/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]JE NI YAPI YAMEFANYIKA KWA MAFANIKIO? MLIOKO KATIKA MAENEO HUSIKA MTUJUZE.[/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]Ninayoyafahamu kuwa bado, ni haya yafuatayo[/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]Kagoma-Biharamulo-Lusahunga, [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]Dodoma-Manyoni, Manyoni-Singida,[/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](c) Kuendelea kuimarisha barabara nchini zitakazounganisha nchi yetu na nchi jirani kwa barabara za lami; zitakazounganisha Makao Makuu ya Mikoa yote pia kwa barabara za lami [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma](m) Kuanzishwa Programu ya Taifa ya Usafiri Vijijini [/FONT]
[FONT=AHIFFO+Tahoma]nk..[/FONT]