Ile harusi ya Uwoya na Dogo Janja ni shooting ndani ya wimbo wa msanii Keisha

Numbisa

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2016
Posts
301,221
Reaction score
1,172,274
Bora rais wa wambea soudy tangu mwanzo hakuamini ubuyu huu ulioonesha dalili za uchachu

Msanii keisha katoa post akiwashukuru wana tip top wenzie kwa ushirikiano walioutoa kukamilisha shooting video ya wimbo wake mpya


Ila ubuyu tumetunga wee na kusingizia wasiohusika
 
Mapovu ya ndiku mume wa uwoya
 
Wapi salaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ndiku anampenda sana uwoya ila ndo hivyo tena bidada hakumpenda yeye bali pesa zake. Saiv ndiku kafuliaa hana makazi ulaya
Ndiku imemchoma mpaka nae akapost,kwa hakika hapa utamjua mwanaume mkurupukaji na ni dhahiri kua Ndiku bado anampenda uwoya ila ndio vile tena ma Dada wa kibongo ni kama ungo na kibeku
 
Pia ndiku mbona hiyo sio account yake wazee, muwe mnafuatilia vyema,kama mmeamua kua wajumbe wa UMBEA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…