Ile hela tuma kwenye namba hii, ugonjwa usiokoma!

Ile hela tuma kwenye namba hii, ugonjwa usiokoma!

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
32,529
Reaction score
76,691
Nimeamka asubuhi tu nakutana na sms yao ati nitumie hela kwenye namba hii..! Haya majamaa sijui huwa yanafikiria hela ni kama pua tu kila mtu anayo!!.. wangejua hii weekend imekaa kikomamanga hata wasingetuma li sms lao..!
Mtu huna hata ya kununulia soda ya jero licha ya soda tusiende mbali hata ya juisi kola tu shida..

Serikali imejitahidi kiasi chake kuwadhibiti ila wajue bado yapo hayo mambung'o na bila shaka nafikiri Kuna watu wanatapeliwa serikali waongeze nguvu zaidi,ni kero hii.
 
Nimeamka asubuhi tu nakutana na sms yao ati nitumie hela kwenye namba hii..! Haya majamaa sijui huwa yanafikiria hela ni kama pua tu kila mtu anayo!!.. wangejua hii weekend imekaa kikomamanga hata wasingetuma li sms lao..!
Mtu huna hata ya kununulia soda ya jero licha ya soda tusiende mbali hata ya juisi kola tu shida..

Serikali imejitahidi kiasi chake kuwadhibiti ila wajue bado yapo hayo mambung'o na bila shaka nafikiri Kuna watu wanatapeliwa serikali waongeze nguvu zaidi,ni kero hii.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu unafurahia so unaona hilo ni Jambo zuri..?
Ngoja siku waje wakuwahi umetoka kuwasiliana na mtu umtumie hela then inakuja hiyo sms utashangaa kitu imeenda huku ukijua umetuma kwa muhusika.. hapo unakuta umetuma mzigo mzito! Hapo na tumbo huwa hadi linaunguruma bila sababu..😂😂
 
Mkuu haiwezi kwama koz watu wengi bado ni wabishi wana elekezwa kila siku ila hawakomi wanatuma tu pesa kwa watu wasiojulikana. Kama ingekuwa watu hawatumi basi hao watu wasinge endelea.
 
Mkuu unafurahia so unaona hilo ni Jambo zuri..?
Ngoja siku waje wakuwahi umetoka kuwasiliana na mtu umtumie hela then inakuja hiyo sms utashangaa kitu imeenda huku ukijua umetuma kwa muhusika.. hapo unakuta umetuma mzigo mzito! Hapo na tumbo huwa hadi linaunguruma bila sababu..[emoji23][emoji23]
Haitatokea mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Mkuu haiwezi kwama koz watu wengi bado ni wabishi wana elekezwa kila siku ila hawakomi wanatuma tu pesa kwa watu wasiojulikana. Kama ingekuwa watu hawatumi basi hao watu wasinge endelea.
Hao tcra walituaminisha kuwa baada ya zoezi la usajiri wa kutumia alama za vidole yangekoma!! Sasa mbona bado, wapo, badala ya kulimaliza hilo wamerukia tena zoezi la kuwa kila mtandao uwe na line moja, tu kama unataka nyingine lazima uombe!!!
 
Hao tcra walituaminisha kuwa baada ya zoezi la usajiri wa kutumia alama za vidole yangekoma!! Sasa mbona bado, wapo, badala ya kulimaliza hilo wamerukia tena zoezi la kuwa kila mtandao uwe na line moja, tu kama unataka nyingine lazima uombe!!!
Ishu ina kuja hizo namba wanazo tumia pia zimesajiliwa kwa kufwata masharti ya TCRA but shida ina kuja mawakala wa mitandao nao sio watu wazuri wana force usajili koz kuna watu mpka leo wapo Tanzania hii hii ila namba za NiDA hawana na line za simu wanazo na zimesajiliwa kwa vitambulisho vya watu. So ushauri hapa TCRA iweke njia yaku reportisha hizi Namba ili wazifanyie kazi, mbili hawa watu wenye hivi vitambulisho watafutwe waseme ili kuwaje waka sajilia watu namba za simu. Akienda mtu magereza ndio tutakuwa serious .
 
Ishu ina kuja hizo namba wanazo tumia pia zimesajiliwa kwa kufwata masharti ya TCRA but shida ina kuja mawakala wa mitandao nao sio watu wazuri wana force usajili koz kuna watu mpka leo wapo Tanzania hii hii ila namba za NiDA hawana na line za simu wanazo na zimesajiliwa kwa vitambulisho vya watu. So ushauri hapa TCRA iweke njia yaku reportisha hizi Namba ili wazifanyie kazi, mbili hawa watu wenye hivi vitambulisho watafutwe waseme ili kuwaje waka sajilia watu namba za simu. Akienda mtu magereza ndio tutakuwa serious .
Hapa tutakamatwa wengi..😅
 
Hapa tutakamatwa wengi..😅
AHhhahaha Mkuu hembu jitahidi bana fika ofisi za serekali mtaani kwako mwombe mtendaji akupe form next week jaribu kuijaza taratibu week inayo fwata jaribu kuirudisha baada ya week mbili mpaka tatu baada ya kuirudisha utapata namba yako ya NIDA. Baada ya hapo utafika kwenye ofisi za mtandao unao tumia na kukamilisha usajili wako kwa dakika zisizo zidi 5.
 
AHhhahaha Mkuu hembu jitahidi bana fika ofisi za serekali mtaani kwako mwombe mtendaji akupe form next week jaribu kuijaza taratibu week inayo fwata jaribu kuirudisha baada ya week mbili mpaka tatu baada ya kuirudisha utapata namba yako ya NIDA. Baada ya hapo utafika kwenye ofisi za mtandao unao tumia na kukamilisha usajili wako kwa dakika zisizo zidi 5.
Kwa walichonitendeaga hao nida mwaka 2018 sisajili kitambulisho leo!.. sio kwamba sijawahi kujisumbua nao ni vile nilikuwa nishajaza kila kitu na mihuri yake nilichoenda kukutana nacho..
 
Back
Top Bottom