G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,369
- 5,248
Kukamia mechi na mwishowe unashangilia draw na Simba eti sababu ya kilikuwa ni kitendo kibaya Sana kwa Biashara yangu, mbona hizo hela SASA hampewi? Malipo yake yamekuja kuwa machungu Sana, kuanzia kombe la Shirikisho tukakosa hela ya usafiri na tukapigwa Ban na fine kubwa.
Bundi Huyu hawezi kuishia hapo, kuna kipindi Singida alipendwa Sana na Yanga hadi Akina Kaseke wakapelekwa upande wa pili, Singida Leo yuko wapi?
Malima(Mkuu wa Mkoa wa Mara uliyepita) tunakulilia Sana Wana Mara, Huyu aliyekuja hpa mwana Yanga Nia yake ni kuiua Biashara irudi daraja la kwanza, ulikuwa unaipa timu hamasa ya ukweli, hicho kitu SASA kimehamia Coastal union.
Lakini yote Kwa yote ukipenda vya Yanga lazima upate maumivu, Biashara hii kubaki kwenye ligi msimu huu, lazima wajipange haswa na waachane na ulaghai wa akina Yanga na GSM. Ona SASA uwanja ulikuwa unaogopwa na timu zote, Leo mmelalia kamoya! Povu ruksa.
Bundi Huyu hawezi kuishia hapo, kuna kipindi Singida alipendwa Sana na Yanga hadi Akina Kaseke wakapelekwa upande wa pili, Singida Leo yuko wapi?
Malima(Mkuu wa Mkoa wa Mara uliyepita) tunakulilia Sana Wana Mara, Huyu aliyekuja hpa mwana Yanga Nia yake ni kuiua Biashara irudi daraja la kwanza, ulikuwa unaipa timu hamasa ya ukweli, hicho kitu SASA kimehamia Coastal union.
Lakini yote Kwa yote ukipenda vya Yanga lazima upate maumivu, Biashara hii kubaki kwenye ligi msimu huu, lazima wajipange haswa na waachane na ulaghai wa akina Yanga na GSM. Ona SASA uwanja ulikuwa unaogopwa na timu zote, Leo mmelalia kamoya! Povu ruksa.