=BabutaleAdam Mchomvu kwenye interview ya Babubate alisikika akisema 'mmetuchapa'[emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sijajua aliekuwa anawaamuru kuwabania wasanii ni nani pale Clouds. Ni nani mwenye mamlaka makubwa namna ile? Je ni BDozen ama Mchomvu? Ni Barbara? Maana Ruge alikana mara kadhaa kuhusika na kufungia nyimbo za wasaniiAdam Mchomvu kwenye interview ya Babubate alisikika akisema 'mmetuchapa'[emoji1][emoji1]
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kibonde alishatangulia mbele ya hakiNgoma ikivuma sana hupasuka. Wapi EFRAIM KIBONDE jamaa alikuwa anatukana hadi waliopo upinzani yaaaaaan
Hata yeye angekuwepo angepotezwa tu na hii nguvu ya wasafiJasiri Muongoza Njia, alikua kiboko ya Wasafi na ni Ngome ya clouds media.
Daaaaah RIP muhaya.
Hata hapo Wasafi wanapangiwa dau. Dunia imejaa mburula sana, no wonder few people are filthy richWasanii walikuwa wanapangiwa dau maana hamna organizers wengine mbali na clouds
Kila jambo na wakati wake, waliwanyanyasa sana wasanii hao jamaa, saizi hadi production ya vipindi vyao hovyo tu.Kuna kipindi wasanii walikuwa wanaogopa kushiriki shughuli na events za wasafi wakihofia cloudsmedia lakini leo unaona Hadi akina Nandy, Marioo wanashiriki matamasha ya wasafi daah mambo yanabadilika. Ile ngome imara ya clouds media kwisha habari yake.
Wale jamaa ni nomaHuwa najiuliza kama Mtangazaji wa klauzi akiulizwa "unaufahamu wimbo wa Waah?' atasema "sijawahi kuusikia".hii itakuwa ni zaidi ya uchawi.
Wasafi na clouds wanajuana vizuri kuliko unavyohisi, Wasafi walivunja ngome zote kucgukua watangazaji kasoro clouds fm, watangazaji wakifukuzwa clouds hawawezi kwenda wasafi hata kama wana impact kubwa. Mke wa Joh ndio mmiliki mwenza wa diamond kwenye wasafi media. Bifu kati ya clouds na wasafi lilitengenezwa kwenye wasafi festival na fiesta na liliisha baada ya matamasha kuisha kila media ikafanya kazi yake bila msuguano. Kwa kifupi hawa watu wanajua wanachokifanya.Kuna kipindi wasanii walikuwa wanaogopa kushiriki shughuli na events za wasafi wakihofia cloudsmedia lakini leo unaona Hadi akina Nandy, Marioo wanashiriki matamasha ya wasafi daah mambo yanabadilika. Ile ngome imara ya clouds media kwisha habari yake.
Duniani kuna misukule na money makers.Wasafi na clouds wanajuana vizuri kuliko unavyohisi, Wasafi walivunja ngome zote kucgukua watangazaji kasoro clouds fm, watangazaji wakifukuzwa clouds hawawezi kwenda wasafi hata kama wana impact kubwa. Mke wa Joh ndio mmiliki mwenza wa diamond kwenye wasafi media. Bifu kati ya clouds na wasafi lilitengenezwa kwenye wasafi festival na fiesta na liliisha baada ya matamasha kuisha kila media ikafanya kazi yake bila msuguano. Kwa kifupi hawa watu wanajua wanachokifanya.
Hujui unachokiandika mkuu, huyo mke wa kusaga hana habari na hayo ma biz yeye yuko busy kulea watoto, ile ni janja ya johHivi kwani mkeo akimiliki bar ndio ruhusa ya wewe kujiita manager wa bar au ndio unaweza kwenda kunywa unavyotaka?
Sitegemei huu ujinga unaouandika....
JF inaanza kuwa kama Facebook inapoteza mvuto kwasababu ya kukosa watu wanaoweza kufikirisha ubongo
Duuuh ngumi ya pua hii [emoji23] [emoji23]Huna ulijuwalo, Joseph Kusaga ni mmiliki wa Wasafi
Pole.
Sasa kama yeye ndiye mwenye shares nyingi utasemaje si yake?yan umeiita wasafi halafu hapo hapo unasema ni ya kusaga, sema anashare pale wasafi media, na hilo ni Jambo la kawaida kwenye biashara
hilo neno halipaswi kutumika katika mazingira ya biashara Kama ya wasafi media.Sasa kama yeye ndiye mwenye shares nyingi utasemaje si yake?
Ngoma ikivuma sana hupasuka. Wapi EFRAIM KIBONDE jamaa alikuwa anatukana hadi waliopo upinzani yaaaaaan