MtotoKautaka
JF-Expert Member
- Jul 16, 2018
- 373
- 895
Nawasalimu kwa jina la Engonga Baltazar.
Mwaka 2017 nipo advance nilitoroka skul nikaenda kukesha kwenye mwenge, napenda sana muziki na nilikuwa na talent ya kucheza na kuimba ila sjui vimepotelea wapi nimebakiza kuimba tu labda.
Kulikuwa na mziki unarindima so mchezo, mida ya saa tano kuelekea saa sita usiku.
Kukawa na mwanamke mmoja kalewa anatembea kwa kuyumba sana sasa akawa anagonga gonga watu.
Kagonga gonga watu akamgonga mlevi mwenzake wa kiume kama hatua moja kutoka nilipokuwa nimesimama.
Yule jamaa Wacha amuamshie popo yule mwanamke, kaanza kumramba vibao hafu watu wanashangalia walevi wenzake na yule jamaa.
Mimi huruma ikaniingia (na huo ndo ulikuwa mwanzo wa matatizo). Huruma ikanijaa nikajikuta namzuia mwamba asiendelee kumpiga yule mwanamke. Jamaa akanipiga kofi kwenye bega la kulia, nikaona so kesi nikarudisha ngumi. Mwamba nilimpiga ngumi kifuani akaanguka chini watu wakajaa zaidi, wenzake na yule mwamba wakanivagaa walikuwa wamelewa sana mwanzo niliweza kuwapiga makonde mm nilikuwa sijagusa pombe kwahyo nikisukuma ngumi inafika kweli kweli.
Niliwalaza chini kama watu wa3 hivi wengine Kwa mitama wengine Kwa ngumi, mlevi ni rahisi sana kumpiga tena sana hasa aliyelewa chakali unajipigia tu. Sasa nimejisahau naenda kumvuta yule dada atoke pale alipokuwa kasimama atokomee zake arudi kwao, wazee nilistukia nimepigwa ngumi moja ya kichwani asee kuna watu wamekomaa.
Nilipopigwa ile ngumi nilijikuta nimenguka chini kichwani nikawa nasikia maumivu makali sana nilijikaza nikajivuta nikaamka nikatoka spidi Kali sana nikaenda mbali kuskilizia maumivu nikarudi skul kesho yake niliamka saa tisa alasiri kichwa kinauma kinoma nikapata dawa nikaoga nikala nikalala tena nikaamka saamoja usiku ndo nikawa na nafuu.
Sikuwahi kurud tena kwenye ishu za kukesha kwenye mwenge na kuingilia ugomvi usonihusu kwasabab ya huruma nikakoma labda awe ni mtu wangu wa karibu na iwe ni uonevu wa nje nje na naona kuna dalili ya kupata kampani hapo ndo ntaingilia la sivyo hapana wazee.
Mwaka 2017 nipo advance nilitoroka skul nikaenda kukesha kwenye mwenge, napenda sana muziki na nilikuwa na talent ya kucheza na kuimba ila sjui vimepotelea wapi nimebakiza kuimba tu labda.
Kulikuwa na mziki unarindima so mchezo, mida ya saa tano kuelekea saa sita usiku.
Kukawa na mwanamke mmoja kalewa anatembea kwa kuyumba sana sasa akawa anagonga gonga watu.
Kagonga gonga watu akamgonga mlevi mwenzake wa kiume kama hatua moja kutoka nilipokuwa nimesimama.
Yule jamaa Wacha amuamshie popo yule mwanamke, kaanza kumramba vibao hafu watu wanashangalia walevi wenzake na yule jamaa.
Mimi huruma ikaniingia (na huo ndo ulikuwa mwanzo wa matatizo). Huruma ikanijaa nikajikuta namzuia mwamba asiendelee kumpiga yule mwanamke. Jamaa akanipiga kofi kwenye bega la kulia, nikaona so kesi nikarudisha ngumi. Mwamba nilimpiga ngumi kifuani akaanguka chini watu wakajaa zaidi, wenzake na yule mwamba wakanivagaa walikuwa wamelewa sana mwanzo niliweza kuwapiga makonde mm nilikuwa sijagusa pombe kwahyo nikisukuma ngumi inafika kweli kweli.
Niliwalaza chini kama watu wa3 hivi wengine Kwa mitama wengine Kwa ngumi, mlevi ni rahisi sana kumpiga tena sana hasa aliyelewa chakali unajipigia tu. Sasa nimejisahau naenda kumvuta yule dada atoke pale alipokuwa kasimama atokomee zake arudi kwao, wazee nilistukia nimepigwa ngumi moja ya kichwani asee kuna watu wamekomaa.
Nilipopigwa ile ngumi nilijikuta nimenguka chini kichwani nikawa nasikia maumivu makali sana nilijikaza nikajivuta nikaamka nikatoka spidi Kali sana nikaenda mbali kuskilizia maumivu nikarudi skul kesho yake niliamka saa tisa alasiri kichwa kinauma kinoma nikapata dawa nikaoga nikala nikalala tena nikaamka saamoja usiku ndo nikawa na nafuu.
Sikuwahi kurud tena kwenye ishu za kukesha kwenye mwenge na kuingilia ugomvi usonihusu kwasabab ya huruma nikakoma labda awe ni mtu wangu wa karibu na iwe ni uonevu wa nje nje na naona kuna dalili ya kupata kampani hapo ndo ntaingilia la sivyo hapana wazee.