Ama kweli!!. Hata mimo nimejionea mauzauza hapo.Video uione wewe maswali utuulize tusioiona
Mkuu nawe ni wale ulishiriki nini itafute inatishaVideo uione wewe maswali utuulize tusioiona
Nimeona video ya kutisha nimeshindwa kuifyonza na kuiweka apa ni viongozi wa team yangu ikimwaga vitu vyumbani huku ikiwa na viongozi wangu Tele. Badae wakaingia wachezaji niliwaona ni team yangu . Je ile ni video ya team yangu kweli au ya kutengeneza kuichafua team.
huu ni uzi wa kipumbavu na kilofa kuwahi kutokeaVideo uione wewe maswali utuulize tusioiona
Unaogopa nini sasa ? Kile chumba hakishi mtu na muda mwingi kimefungwa hewa huwa nzito na wakati mwingine pia harufu , viongozi kuona hivyo wakawa wanatia cream iliyoperfumed ili kuwe na harufu nzuri kama vile Rinju ,au yoyote itayokaa muda mrefu ,. Wapo wnaodhani ni sumu sasa jiulize watamwaga sumu na wao wakae humohumo wota akina Haji na maafisa wa CAF au TFF usiogope hiyo ndiyo story ya ulichokiona [emoji3071][emoji881][emoji881][emoji881]Nimeona video ya kutisha nimeshindwa kuifyonza na kuiweka apa ni viongozi wa team yangu ikimwaga vitu vyumbani huku ikiwa na viongozi wangu Tele. Badae wakaingia wachezaji niliwaona ni team yangu . Je ile ni video ya team yangu kweli au ya kutengeneza kuichafua team.
Nimeona video ya kutisha nimeshindwa kuifyonza na kuiweka apa ni viongozi wa team yangu ikimwaga vitu vyumbani huku ikiwa na viongozi wangu Tele. Badae wakaingia wachezaji niliwaona ni team yangu . Je ile ni video ya team yangu kweli au ya kutengeneza kuichafua team.
Ni yenyeweNimeona video ya kutisha nimeshindwa kuifyonza na kuiweka apa ni viongozi wa team yangu ikimwaga vitu vyumbani huku ikiwa na viongozi wangu Tele. Badae wakaingia wachezaji niliwaona ni team yangu . Je ile ni video ya team yangu kweli au ya kutengeneza kuichafua team.
Mkuu unahasira sana sasa pale mwanawasa kitakachowapata mtabaki kulizana na kusimulianaNI timu yako, si unajuwa ile timu katika mashindano ya kimataifa haina kitu na ndiyo maana wanaroga sana. Zesco kachomoa dakika y mwisho huku wazee wenu wakiwa bado wanaroga, tetesi inasema kwamba walisahau kubugia ugoro kama afanyavyo yule Mze wenu asiye na tija klabuni kwenu.
Mambumbumbu wamekaa chini ya mwamasishaji ndio mmekuja na majibu haya kwakweli team yangu imechoka sanaUnaogopa nini sasa ? Kile chumba hakishi mtu na muda mwingi kimefungwa hewa huwa nzito na wakati mwingine pia harufu , viongozi kuona hivyo wakawa wanatia cream iliyoperfumed ili kuwe na harufu nzuri kama vile Rinju ,au yoyote itayokaa muda mrefu ,. Wapo wnaodhani ni sumu sasa jiulize watamwaga sumu na wao wakae humohumo wota akina Haji na maafisa wa CAF au TFF usiogope hiyo ndiyo story ya ulichokiona [emoji3071][emoji881][emoji881][emoji881]
Nimeona video ya kutisha nimeshindwa kuifyonza na kuiweka apa ni viongozi wa team yangu ikimwaga vitu vyumbani huku ikiwa na viongozi wangu Tele. Badae wakaingia wachezaji niliwaona ni team yangu . Je ile ni video ya team yangu kweli au ya kutengeneza kuichafua team.
Nimeona video ya kutisha nimeshindwa kuifyonza na kuiweka apa ni viongozi wa team yangu ikimwaga vitu vyumbani huku ikiwa na viongozi wangu Tele. Badae wakaingia wachezaji niliwaona ni team yangu . Je ile ni video ya team yangu kweli au ya kutengeneza kuichafua team.
Ndio ni ya timu yako angalia hapa chini.Nimeona video ya kutisha nimeshindwa kuifyonza na kuiweka apa ni viongozi wa team yangu ikimwaga vitu vyumbani huku ikiwa na viongozi wangu Tele. Badae wakaingia wachezaji niliwaona ni team yangu . Je ile ni video ya team yangu kweli au ya kutengeneza kuichafua team.
It's very much appreciatedNimeona video ya kutisha nimeshindwa kuifyonza na kuiweka apa ni viongozi wa team yangu ikimwaga vitu vyumbani huku ikiwa na viongozi wangu Tele. Badae wakaingia wachezaji niliwaona ni team yangu . Je ile ni video ya team yangu kweli au ya kutengeneza kuichafua team.
Mkuu unahasira sana sasa pale mwanawasa kitakachowapata mtabaki kulizana na kusimuliana