ILE ziara ya Rais BUSH hapa TZ.

Exaud J. Makyao

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2008
Posts
1,518
Reaction score
24
Ndugu wachambuzi wa mambo ya SIASA na KIJAMII,
Hivi ile ziara ya Rais George W. Bush hapa TZ iliyo jaa mbwembwe na matarajio makubwa makubwa imeshazaa chochote cha kuelezeka?

Wachambuzi leteni habari.
Au ziara hiyo ilikuwa na Agenda ambayo haikutwa?
 
Tumefaidi vyandarua mkuu

JEROME,
Alaa?,
Kumbe mkuu.Ni ahadi au zimeshapatikana?

If only that?????????????????????,,,,,,,,,??????.

Ni hilo lilikuwa lengo kuu la ziara hiyo wakuu?
 

KUNA MIRADI YA BARABARA MCA KULE TANGA HOROHORO, RUKWA, SONGEA nafikiri iko njiani kuanza muda si mrefu.
 
Kanye West anakuja kupanda mlima Kilimanjaro kama alivyofanya Abromavich hahaaa

Hivi ule mkutano wa Sullivan tulishanufaika???
 
Labda hazijakamilika hizo faida🙂 au tusikie kwa wakuu wengine pia!Otherwise, labda Bush nae alikuja ili kufaidi yeye na nchi yake.

Exaud, wewe binafsi hukuona chochote kabisa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…