Iletwe pia SGR treni ya kubeba magari

Iletwe pia SGR treni ya kubeba magari

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Katika maboresho ya SGR na kuongeza wigo wa huduma, ningeshauri iongezwe treni itakayokuwa inabeba magari madogo. Niliwahi kuona treni ya namna hiyo ikifanya kazi Ulaya.

Imagine unasafiri kwenda mkoa fulani mfano kutoka Dar hadi Dodoma na unajua utakuwa huko kwa siku kadhaa na unajua katika pilipapilika zako huko utahitaji kutumia usafiri wako binafsi. Unaweka gari yako katika treni ya magari, siku hiyo hiyo unayofika gari yako nayo inafika.

Hii itapunguza pia stress katika matumizi ya barabara yasiyo ya lazima na kuzifanya zidumu zaidi.
 
Katika maboresho ya SGR na kuongeza wigo wa huduma, ningeshauri iongezwe treni itakayokuwa inabeba magari madogo. Niliwahi kuona treni ya namna hiyo ikifanya kazi Ulaya...
Hilo pia itaigiza wizara ya uchukuzi waone limekaaje. Maana kutoka Dar Mwanza kwa kuendesha inaweza ikakughalimu si chini ya laki 8 kitu ambacho ingekua unasafirisha gari na wewe mwenyewe kwenye treni ghalama ingeweza kua pungufu.

Kwa hiyo wizara husika lichukueni hilo mkalifanyie kazi..

In mama's voice
 
Katika maboresho ya SGR na kuongeza wigo wa huduma, ningeshauri iongezwe treni itakayokuwa inabeba magari madogo. Niliwahi kuona treni ya namna hiyo ikifanya kazi Ulaya.

Imagine unasafiri kwenda mkoa fulani mfano kutoka Dar hadi Dodoma na unajua utakuwa huko kwa siku kadhaa na unajua katika pilipapilika zako huko utahitaji kutumia usafiri wako binafsi. Unaweka gari yako katika treni ya magari, siku hiyo hiyo unayofika gari yako nayo inafika.

Hii itapunguza pia stress katika matumizi ya barabara yasiyo ya lazima na kuzifanya zidumu zaidi.
Hii ni fursa nzuri kwa TRC hata kama haitakua kila siku ila ikiwepo treni ya walau kwa wiki mara mbili itapendeza sana.

Hiyo kwa ulaya niliwahi kuiona pia kutoka UK kwenda Ufaransa.
 
Hii ni fursa nzuri kwa TRC hata kama haitakua kila siku ila ikiwepo treni ya walau kwa wiki mara mbili itapendeza sana.

Hiyo kwa ulaya niliwahi kuiona pia kutoka UK kwenda Ufaransa.
Actually sio independent train but mabehewa ya kubebea magari. Ila behewa litabeba gari ngapi?

I suspect, kusafirisha gari gharama itakuwa sio mchezo! No, mbona gari za Zenji zimezagaa Bara? Wakazi wa huko wanaenda na gari zao Bara regularly na kurudi; why ishindikane Dodoma - Dar? Muhimu gharama iwe fair.
 
Ni mabehhewa special kwa kubeba magari. Nayapo tu. Mtu akichukua gari lake bandarini linasafirishwa mpaka Kigoma.Analipokea zeo kilometer! Yapo pia mabehewa ya kusafirisha Malori ila vichwa vinabaki zigoma vinakuja kuchukua bodi ikifika kigoma kutoka Dar port!
 
Wazo zuri sana,natumaini wahusika SGR watalifanyia kazi....kama bukoba kutoka Mwanza kwa MV Victoria Huwa unaweka na gari lako kabisa ukifika bk ni kuwasha na kuondoka
 
Wazo zuri sana na pia naona ni salama hasa kwa wale wanaoagiza magari nje na wapo say Mwanza au hata zile IT za Rwanda na Congo badala ya kukimbizana road wanaenda kuyachukulia Kigoma au Mwanza.
 
Katika maboresho ya SGR na kuongeza wigo wa huduma, ningeshauri iongezwe treni itakayokuwa inabeba magari madogo. Niliwahi kuona treni ya namna hiyo ikifanya kazi Ulaya.

Imagine unasafiri kwenda mkoa fulani mfano kutoka Dar hadi Dodoma na unajua utakuwa huko kwa siku kadhaa na unajua katika pilipapilika zako huko utahitaji kutumia usafiri wako binafsi. Unaweka gari yako katika treni ya magari, siku hiyo hiyo unayofika gari yako nayo inafika.

Hii itapunguza pia stress katika matumizi ya barabara yasiyo ya lazima na kuzifanya zidumu zaidi.
Good idea ipunguze foleni
 
Katika maboresho ya SGR na kuongeza wigo wa huduma, ningeshauri iongezwe treni itakayokuwa inabeba magari madogo. Niliwahi kuona treni ya namna hiyo ikifanya kazi Ulaya.

Imagine unasafiri kwenda mkoa fulani mfano kutoka Dar hadi Dodoma na unajua utakuwa huko kwa siku kadhaa na unajua katika pilipapilika zako huko utahitaji kutumia usafiri wako binafsi. Unaweka gari yako katika treni ya magari, siku hiyo hiyo unayofika gari yako nayo inafika.

Hii itapunguza pia stress katika matumizi ya barabara yasiyo ya lazima na kuzifanya zidumu zaidi.

1724090601108.png
 
Mh! Failure inatengenezwa hapo maana yatasafiri bure eventually tozo zitalipia. Anyway, it will be cheaper than driving the cars but TRC itabebeshwa hilo zigo!
Bora yasafiri bure tu hayo mav8 kuliko kutuweka foleni za masaa mawili na hiyo misafara au kuendesha kwa vurugu barabarani.
 
Back
Top Bottom