Ili Club Africa wafuzu hatua nyingine wanatakiwa wacheze kama Al Hilal

Ili Club Africa wafuzu hatua nyingine wanatakiwa wacheze kama Al Hilal

kwisha

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2021
Posts
1,779
Reaction score
4,982
Unajua Al Hilal siyo kwamba walikuwa bora zaidi ya Yanga hapana, Yanga walikuwa bora zaidi ya Al Hilal ila walichoshida Al Hilal kwa Yanga ni nini?

Ni mbinu za kocha wao tu bila hivyo Al Hilal wangelilala nyumbani kwao pale pale. Yaani watu walikuwa wamejaa nyuma mpaka unakosa sehemu ya kupitisha mpira, walikuwa watu 8 nyuma, mbele 2 tu, halafu wazee walibana kinoma.

Na hiyo ndiyo njia pekee ya kumzuia Yanga tu. Ila ukija na mpira wako, sijui mimi ni bora ni cheze mpira wa kushambulia, halafu nyuma unaacha wachezaji wa 4 au 3, ndugu yangu umekufa na Club Africa wakija kwa mpira huo tutazika mtu 5 hapa.
 
Pale omdurman kila muda al hilal wakinasa mpira wanafika kumchungulia Diara ,beki zenu nyepesi mithili ya chapati za maji !! Ili mjue habari za Club Africain ni vyema mkapanda boti kwenda kuwauliza kipanga nini hasa kiliwakuta pale Tunis.
 
Unajua Al Hilal siyo kwamba walikuwa bora zaidi ya Yanga hapana, Yanga walikuwa bora zaidi ya Al Hilal ila walichoshida Al Hilal kwa Yanga ni nini?

Ni mbinu za kocha wao tu bila hivyo Al Hilal wangelilala nyumbani kwao pale pale. Yaani watu walikuwa wamejaa nyuma mpaka unakosa sehemu ya kupitisha mpira, walikuwa watu 8 nyuma, mbele 2 tu, halafu wazee walibana kinoma.

Na hiyo ndiyo njia pekee ya kumzuia Yanga tu. Ila ukija na mpira wako, sijui mimi ni bora ni cheze mpira wa kushambulia, halafu nyuma unaacha wachezaji wa 4 au 3, ndugu yangu umekufa na Club Africa wakija kwa mpira huo tutazika mtu 5 hapa.
Mumetolewa tu maelezo mengi hayasaidii kitu mnazidi kujichoresha tu.
 
Kwa beki ya Yanga pale Tunis mkila chache ni tano.
Na hapa taifa mkijochanganya mnatiwa viwili.
 
Utopolo hamna Kitu zaidi ya kuruka ruka na vi square pass halafu wewe unaona ndio ubora.
 
Utoporoo wana zaidi ya miaka 25 hawajafanikiwa kufuzu hata group stage ya CAF Champions League🤣🤣 ..ukija kwenye Kombe la Shirikisho mara ya mwisho walishiriki mwaka 2016 na kuishia kushika mkia katika kundi lao😀😀😀
 
Utopolo siku zote wataendelea na Maumivu kwasababu wanawaza ujinga tu kuwa Wai ni timu kubwa na bora
 
Back
Top Bottom