1. "The CCM losing power - for the first time since independence - is looking like an outside possibility"
2. "in the eyes of the public, CCM has gradually deviated from its founding values and its leadership is firmly in the pockets of the capitalist class"
This is unfortunate kwa sababu huyu JK aliaminiwa sana na watu, hata some oof the great thinkers! lakini leo hata mateja hawamtaki!
Si kawaida kukataliwa hivi katikati ya kipindi.
This is unfortunate kwa sababu huyu JK aliaminiwa sana na watu, hata some oof the great thinkers! lakini leo hata mateja hawamtaki!
Si kawaida kukataliwa hivi katikati ya kipindi.
Wacha CCM ishikishwe adabu. Kada wa CCM ndio waizi wakubwa. Wananchi wa kawaida ndio wanahangaika. Si walisema hata wafanyakazi wagome miaka minane hawataongezewa Ng'o. Wameua nchi hawa, lazima waumbuliwe. Chagua Dr. Slaa for change. Mpaka kieleweke!!!