Kuna baadhi ya wanaume tena wengine wababa wazima wakuwa na wajukuu majumbani wakiwa sehemu zenye watu wengi bila kujali mazingira au watu aliokaa nao wanaheshimiana vipi,akishaona wanawake anaanza kuhadithia namna anavyojua kudoo.ni kwamba mnatafuta sifa tuu au mnataka waje wawajaribu?