Ili iweje?

MUSINGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,072
Reaction score
1,264
Kuna baadhi ya wanaume tena wengine wababa wazima wakuwa na wajukuu majumbani wakiwa sehemu zenye watu wengi bila kujali mazingira au watu aliokaa nao wanaheshimiana vipi,akishaona wanawake anaanza kuhadithia namna anavyojua kudoo.ni kwamba mnatafuta sifa tuu au mnataka waje wawajaribu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…