Kididimo
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 4,153
- 3,800
Ni ukweli usiopingika kuwa Ili Uchumi wa Viwanda katika nchi yetu uimarike, ni lazima tutegemee Mali ghafi zaidi zinazotokana na Kilimo na Mifugo.
Hivi sasa uzalishaji wa mazao ya Kilimo hasa yale ya biashara mfano kahawa,pamba, mkonge, na mengineyo umeshuka sana kipindi cha karibuni. Hali kadhalika uboreshaji Mifugo unasuasua Sana hadi majuzi namuona Waziri wa Fedha Dr. Mwigilu Nchemba akiishauri Wizara ya Mifugo mbinu mbalimbali.
Ukichunguza kiini cha yote kwa sehemu kubwa ni usimamizi utendaji mbovu wa sekta hizo hasa ngazi za chini. Wakuu wa Mikoa,Wilaya na MaDED wengi siyo wataalamu wa fani hizo na husubiri ya kuambiwa na approach zao kubwa ni amri zisizo na tija! Mifano ninayo.
Tunao Wataalamu wengi wa Kilimo na Mifugo kutoka Vyuo kama SUA hutaona wakiteuliwa katika maeneo haha,wengi wao naamini wana uwezo mzuri Sana. Na ukitaka kufanya utafiti mdogo,angalia waliofanikiwa kujiajiri wanavyofanikisha miradi yap binafsi.
Kwenye Agroprossesing technology ambayo ndiyo ilipromote kwa kiwango kikubwa chumi za nchi kama Vietnam,Taiwan, hata China haitendewi haijatendewa haki vilivyo hapa nchini kwetu. Na sababu kubwa ni uelewa mdogo hasa wa viongozi tunaowapa dhamana ya kubuni,kuhimiza,kusimamia jamii yetu hasa eneo nililolitaja.
Ni rai yangu uongozi ngazi za juu hasa zenye dhamana na teuzi walione hilo
Hivi sasa uzalishaji wa mazao ya Kilimo hasa yale ya biashara mfano kahawa,pamba, mkonge, na mengineyo umeshuka sana kipindi cha karibuni. Hali kadhalika uboreshaji Mifugo unasuasua Sana hadi majuzi namuona Waziri wa Fedha Dr. Mwigilu Nchemba akiishauri Wizara ya Mifugo mbinu mbalimbali.
Ukichunguza kiini cha yote kwa sehemu kubwa ni usimamizi utendaji mbovu wa sekta hizo hasa ngazi za chini. Wakuu wa Mikoa,Wilaya na MaDED wengi siyo wataalamu wa fani hizo na husubiri ya kuambiwa na approach zao kubwa ni amri zisizo na tija! Mifano ninayo.
Tunao Wataalamu wengi wa Kilimo na Mifugo kutoka Vyuo kama SUA hutaona wakiteuliwa katika maeneo haha,wengi wao naamini wana uwezo mzuri Sana. Na ukitaka kufanya utafiti mdogo,angalia waliofanikiwa kujiajiri wanavyofanikisha miradi yap binafsi.
Kwenye Agroprossesing technology ambayo ndiyo ilipromote kwa kiwango kikubwa chumi za nchi kama Vietnam,Taiwan, hata China haitendewi haijatendewa haki vilivyo hapa nchini kwetu. Na sababu kubwa ni uelewa mdogo hasa wa viongozi tunaowapa dhamana ya kubuni,kuhimiza,kusimamia jamii yetu hasa eneo nililolitaja.
Ni rai yangu uongozi ngazi za juu hasa zenye dhamana na teuzi walione hilo