Ili kuepuka mgogoro wa Katiba tuendako, tukubaliane juu ya hili

Ili kuepuka mgogoro wa Katiba tuendako, tukubaliane juu ya hili

KooZito

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2020
Posts
397
Reaction score
1,377
Kuna swali linaulizwa na wengi, hii Serikali ni ya Awamu ya ngapi? Kwa Utamaduni hatarishi ya CCM watakwambia ni Awamu ya 5 iliyoanza na Dk. Magufuli (the late).

Ukweli ninaoujua ni kwamba hii ni Serikali awamu ya 6. By the way hatuna neno "awamu" ndani ya Katiba ya JMT. Ni mazoea tu CCM kuendelea kusalia madarakani.

Kusema hii ni Awamu ya 5 ni kumdharau Rais SSH. Atakosa nguvu ya Kirais maana ni kama "anamshikia" Rais Magufuli. Lakini pia SSH 2025 akigombea Urais anaweza kudai miaka 4 iliyopita isihesabike maana ndio anaanza awamu yake ya 6 na hivyo isihesabiwe. Kwa mantiki kwamba 2025-2030 then 2030-2035 ndipo atakuwa amemaliza mihula miwili! Imewahi kutokea Burundi, Rwanda na DRC.

#FreedomIsBack
 
 
Kuna swali linaulizwa na wengi, hii Serikali ni ya Awamu ya ngapi? Kwa Utamaduni hatarishi ya CCM watakwambia ni Awamu ya 5 iliyoanza na Dk. Magufuli (the late).

Ukweli ninaoujua ni kwamba hii ni Serikali awamu ya 6. By the way hatuna neno "awamu" ndani ya Katiba ya JMT. Ni mazoea tu CCM kuendelea kusalia madarakani.

Kusema hii ni Awamu ya 5 ni kumdharau Rais SSH. Atakosa nguvu ya Kirais maana ni kama "anamshikia" Rais Magufuli. Lakini pia SSH 2025 akigombea Urais anaweza kudai miaka 4 iliyopita isihesabike maana ndio anaanza awamu yake ya 6 na hivyo isihesabiwe. Kwa mantiki kwamba 2025-2030 then 2030-2035 ndipo atakuwa amemaliza mihula miwili! Imewahi kutokea Burundi, Rwanda na DRC.

#FreedomIsBack
Uko sahihi kabisa. Ukitaka kila kitu kiandikwe kwenye KATIBA mwishowe tutakuja kuandika na vingine ambavyo hatustahili kuandika. Mambo mengine ni IMPLIED kwa sababu KATIBA inatambua pia uwepo wa KANUNI na TARATBU
 
Back
Top Bottom