Wakuperuzi
JF-Expert Member
- Mar 31, 2023
- 2,348
- 5,841
Km una ujumbe,taarifa au Salam niachie Wkuoeruzi hpa zitafika kw muhusika na kw wakat kurahisisha mambo, Maana najua mabo ni mengi wakuu hamuwezi kushinda humu muda wote ila binafsi naptikana humu masaa yote so kila anayeingia na kutoka huwa naona sababu nakuwa online
Mwambie muanzilishi wa wa huu mtandao kuwa wasaidizi wake ni madikteta wanapiga watu ban kwa chuki na wanafuta nyuzi zetu hasa zile ambazo wanateseka mioyo wakizisoma.Km una ujumbe,taarifa au Salam niachie Wkuoeruzi hpa zitafika kw muhusika na kw wakat kurahisisha mambo, Maana najua mabo ni mengi wakuu hamuwezi kushinda humu muda wote ila binafsi naptikana humu masaa yote so kila anayeingia na kutoka huwa naona sababu nakuwa online
Mjumbe hauwawiiMwambie mkuu wa fedha atuachie widhara
Ebwnaee kuhusu raia kula ban nafkiri mnatakiwa kuwa makini na unacho comment kabla ya kupost (tafakar) cdhani km mkuu wa kaya ya humu anaweza kumlambisha mtu ban kwa chukiMwambie muanzilishi wa wa huu mtandao kuwa wasaidizi wake ni madikteta wanapiga watu ban kwa chuki na wanafuta nyuzi zetu hasa zile ambazo wanateseka mioyo wakizisoma.