Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Wabunge 19 waliofukuzwa na chama chao CHADEMA kwa mujibu wa Katiba walistahili kuondolewa Bungeni kutokana na kupoteza sifa kwani ili uwe Mbunge ni pamoja na kuwa mwanachama wa chama cha siasa.
Kwa kuwa Spika pamoja na Serikali inawatambua kuwa ni wabunge halali licha ya kufukuzwa na chama chao nashauri Serikali ipeleke marekebisho ya sheria ya huwa hata Usipokuwa Mwanachama wa chama cha siasa unaweza kuwa Mbunge, kwa Marekebisho hayo Halima na wenzake watakuwa Wabunge halali kama Spika anavyotaka.
Kwa kuwa Spika pamoja na Serikali inawatambua kuwa ni wabunge halali licha ya kufukuzwa na chama chao nashauri Serikali ipeleke marekebisho ya sheria ya huwa hata Usipokuwa Mwanachama wa chama cha siasa unaweza kuwa Mbunge, kwa Marekebisho hayo Halima na wenzake watakuwa Wabunge halali kama Spika anavyotaka.