Ili kunusuru msimu huu, Kocha anapaswa kufukuzwa Haraka iwezekanavyo

Ili kunusuru msimu huu, Kocha anapaswa kufukuzwa Haraka iwezekanavyo

Hauitaji hata D 2 kujua hapa hamna kocha...Kuanzia ufundi, mbinu na kusoma mchezo vyote hamna kitu..
Ama kweli Tuliruka mkojo sasa tumekanyaga mavi.

Vipigo vitaendelea hadi uyu mpuuzi atapofukuzwa....
Huu ni zaidi ya utopolo[emoji706][emoji706]
Acha utoto wewe. Hssira zako za ku bet usituletee huku.
Kama hauwezi kuvumilia jipe likizo
 
1000001251.jpg
 
Itoshe kusema wana utopolo wenzangu Germany machine tumesajili gobole
 
Hauitaji hata D 2 kujua hapa hamna kocha...Kuanzia ufundi, mbinu na kusoma mchezo vyote hamna kitu..
Ama kweli Tuliruka mkojo sasa tumekanyaga mavi.

Vipigo vitaendelea hadi uyu mpuuzi atapofukuzwa....
Huu ni zaidi ya utopolo[emoji706][emoji706]
Hata akirudi Tena gamondi au nani hakuna tiba hapo ishu injinia awaombe radhl waliomsaidia wakati anaingia madarakani na kuwarudisha kundini nakwambia tunatoboa nahuyuhuyu mjerumani wetu ambaye watu wanamdharau.
 
BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ALITUTAJIA MAADUI.

1. UMASIKINI
2.UJINGA.
3. MARADHI.

Akasema Hawa ni maadui wa kweli kweli katika hili Taifa.

LEO 2024 BAADA YA MIAKA 60 TUMEKUWA NA MAADUI WENGI ZAIDI.

2024 maadui wameongeseka Zaidi kuliko wale watatu wa 1961.

1.Umasikini na ufukara.
2.Ujinga na upumbavu.
3.Magonjwa na Maradhi.

4.Mmomonyoko wa Maadili.
ushoga, usagaji Kamali, sugar mamy, sugar Dady mashangazi
AJIRA.
5. Rushwa na Upendelo

6. USimba na u yanga.
7. Mitandao ya kijamii Tiktok, x, nk
8. Manabii wa uongo na Mashehe Uchwara.
9. Ajali nyingi mno.
10. Gharama kubwa za maisha, ujenzi holela nk

MAMBO NI MENGI SANA VIJANA WA KITANZANIA WANAWAZA MAMBO YA HOVYO SANA SIMBA NA YANGA ZINATAWALA MIKEKA NK.


OKOENI TAIFA LENU LEO.

IPO SIKU HILI TAIFA LITAZIDIWA NA SOMALIA KIUCHUMI.

MKIFIKA MBINGUNI MTAHOJIWA NA MUNGU MLILIFANYIA NINI TAIFA LENU NIMEMALIZA.
 
Back
Top Bottom