Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Hiki mlichofanya Leo ni aibu. Mkisoma barua yenu mnapata chochote cha maana Kwa nini mmeahirisha Mechi?
Mnasema Simba hawajulisha Mamlaka yoyote kwamba wanakwenda uwanjani muda Fulani kufanya mazoezi.
Nyie hao hao kwenye barua hiyo hiyo mnasema Simba walizuiwa na mabaunsa wanajulikana ni wa Yanga kuingia uwanjani. Kama Simba hawakujulisha kwamba wanakwenda uwanjani na Kwa mujibu wa barua yenu walipaswa kufanya hivyo huo Uhalali wa kuingia uwanjani unatoka wapi?
Mmegundua hao mabaunsa waliozuia Simba kuingia uwanjani ni wa Yanga na Kwa vyovyote walitumwa na Yanga Kwa nini mpange tarehe nyingine ya Mechi badala ya kuwapa Simba USHINDI maana waliovuruga Mechi Kwa maana hiyo ni Yanga?
Mmekuwa na madhaifu mengi kwenye uongozi wenu na hili la Leo limezidi. Jitafakarini tokeni muachie wengine.
Mnasema Simba hawajulisha Mamlaka yoyote kwamba wanakwenda uwanjani muda Fulani kufanya mazoezi.
Nyie hao hao kwenye barua hiyo hiyo mnasema Simba walizuiwa na mabaunsa wanajulikana ni wa Yanga kuingia uwanjani. Kama Simba hawakujulisha kwamba wanakwenda uwanjani na Kwa mujibu wa barua yenu walipaswa kufanya hivyo huo Uhalali wa kuingia uwanjani unatoka wapi?
Mmegundua hao mabaunsa waliozuia Simba kuingia uwanjani ni wa Yanga na Kwa vyovyote walitumwa na Yanga Kwa nini mpange tarehe nyingine ya Mechi badala ya kuwapa Simba USHINDI maana waliovuruga Mechi Kwa maana hiyo ni Yanga?
Mmekuwa na madhaifu mengi kwenye uongozi wenu na hili la Leo limezidi. Jitafakarini tokeni muachie wengine.