Ili kuongeza wigo wa mapato yatupasa kama taifa kuthamini na kuzalisha vya kwetu. Tusiwe mabingwa wa kukopi na kupesti tu.
Mfano Usafiri wa bodaboda ulianzishwa miaka mingi nchini Nigeria kabla yetu. Kwa Afrika mashariki nchi ya kwanza kuruhusu bodaboda kuwa chombo cha kubeba abiria ni Uganda. Na hata jina bodaboda kimetokea huko. Ndipo baada ya kuhelewa sana tukafanya maamuzi ya kukopi na kupesti.
Gongo na pombe nyingine za kienyeji zinatumiwa Sana nchi nzima. Kwann serikali kupitia TMDA/TFDA, TBS na mamlaka nyingine zisiwasaidie watengenezaji wa vileo hivi namna bora ya utengenezaji na packaging ili viwe vinywaji vyenye ubora wa kitamataifa? Kisha tuuze ndani na nje ya nchi?
Lkn pia turuhusu kilimo cha bangi (sijasema turuhusu matumizi) kama inavyofanyika Afrika ya Kusini, Rwanda na nchi nyingine za Ulaya na baadhi ya majimbo ya Marekani. Zao hili linaweza kutuingizia fedha nyingi za kigeni.
Tuache ushamba wa kukamuana kwenye tozo tuuu huku tukiendelea na uvivu wa kufikiria nje ya boksi.
Pia waweza kisoma:-
www.jamiiforums.com
Mfano Usafiri wa bodaboda ulianzishwa miaka mingi nchini Nigeria kabla yetu. Kwa Afrika mashariki nchi ya kwanza kuruhusu bodaboda kuwa chombo cha kubeba abiria ni Uganda. Na hata jina bodaboda kimetokea huko. Ndipo baada ya kuhelewa sana tukafanya maamuzi ya kukopi na kupesti.
Gongo na pombe nyingine za kienyeji zinatumiwa Sana nchi nzima. Kwann serikali kupitia TMDA/TFDA, TBS na mamlaka nyingine zisiwasaidie watengenezaji wa vileo hivi namna bora ya utengenezaji na packaging ili viwe vinywaji vyenye ubora wa kitamataifa? Kisha tuuze ndani na nje ya nchi?
Lkn pia turuhusu kilimo cha bangi (sijasema turuhusu matumizi) kama inavyofanyika Afrika ya Kusini, Rwanda na nchi nyingine za Ulaya na baadhi ya majimbo ya Marekani. Zao hili linaweza kutuingizia fedha nyingi za kigeni.
Tuache ushamba wa kukamuana kwenye tozo tuuu huku tukiendelea na uvivu wa kufikiria nje ya boksi.
Pia waweza kisoma:-
Ili kuondoa tozo Serikali ifanye yafuatayo
Yafuatayo ni mapendekezo yangu yatayobana matumizi na/ama kuibua/kuongeza makusanyo. 1. Wabunge walipwe sh 45,000/= kwa siku badala ya Tsh 300,000/= kama sitting allowance. Hivyo serikali itaokoa Tsh 255,000/= × 395 (idadi ya wabunge ) kwa siku sawa na TSh 100,725,000/=kwa siku. 2. Tabia ya...