SoC04 Ili kupunguza single mother na ukahaba

SoC04 Ili kupunguza single mother na ukahaba

Tanzania Tuitakayo competition threads

neno ni upanga

JF-Expert Member
Joined
Jun 28, 2022
Posts
494
Reaction score
1,656
Kumetokea sasaiv wimbi la vijana wasiotaka kuoa lakini wana vipato vizuri, wengi wao wanasingizia kuwa bado hawajajipanga, lakini hao hao ndio wanaongoza kufanya uasherati wamekuwa wanawapa wasichana mimba na kuzikataa hizo mimba, lakini pia hata wasipozitoa unakuta wanawakataa hao wanawake! Madhara yake ndio haya
1: Ongezeko la single mother
2: Watoto wa mitaani
3: Mauaji kuzidi ( abortion)
4: Ukahaba kuzidi kwa kasi

Kufuatia hali hii napendekeza serikali ichukue hatua pamoja na taasisi binafsi kwa hawa vijana wa kiume na napendekeza hatua hizi zichukuliwe

1: Kijana yeyote aliyefikisha miaka 30 and above sharti awe ameoa ndipo apate huduma za kijamii

2: Kijana wa kiume miaka 30 and above na umeajiriwa serikalini kama hujaoa unafukuzwa kazi na kama ni taasis binafsi hivyo hivyo

3: Kupata ajira serikalini kuoa iwe added advantage kupata ajira, lakini above 30 kama hujaoa asipewe kazi serikalini


Kwa wadada
Umeajiriwa serikalini na una miaka 40+ hujaolewa unafukuzwa kazi maana wewe unaharibu vijana wetu pamoja na kuvunja ndoa za watu

Note: ni kweli ndoa ni hiari ya mtu lakini tukumbuke pia ni agizo kutoka kwa Mungu, hakuna mtu muda wote miaka 30+ unajipanga tu hapana!

Nawasilisha
 
Upvote 3
Kumetokea sasaiv wimbi la vijana wasiotaka kuoa lakini wana vipato vizuri, wengi wao wanasingizia kuwa bado hawajajipanga, lakini hao hao ndio wanaongoza kufanya uasherati wamekuwa wanawapa wasichana mimba na kuzikataa hizo mimba, lakini pia hata wasipozitoa unakuta wanawakataa hao wanawake! Madhara yake ndio haya
1: Ongezeko la single mother
2: Watoto wa mitaani
3: Mauaji kuzidi ( abortion)
4: Ukahaba kuzidi kwa kasi

Kufuatia hali hii napendekeza serikali ichukue hatua pamoja na taasisi binafsi kwa hawa vijana wa kiume na napendekeza hatua hizi zichukuliwe

1: Kijana yeyote aliyefikisha miaka 30 and above sharti awe ameoa ndipo apate huduma za kijamii

2: Kijana wa kiume miaka 30 and above na umeajiriwa serikalini kama hujaoa unafukuzwa kazi na kama ni taasis binafsi hivyo hivyo

3: Kupata ajira serikalini kuoa iwe added advantage kupata ajira, lakini above 30 kama hujaoa asipewe kazi serikalini


Kwa wadada
Umeajiriwa serikalini na una miaka 40+ hujaolewa unafukuzwa kazi maana wewe unaharibu vijana wetu pamoja na kuvunja ndoa za watu

Note: ni kweli ndoa ni hiari ya mtu lakini tukumbuke pia ni agizo kutoka kwa Mungu, hakuna mtu muda wote miaka 30+ unajipanga tu hapana!

Nawasilisha
Na matowashi, mahanithi na wagumba haki zao ziko wapi hapo?
 
Back
Top Bottom