ASEC Memosas ashindwe mwenyewe njia nyeupe hao watatu ndio watatoana rohoSimba anacheza na wydad mechi mbili mfululizo. Waydad mpaka sasa ana point 0. Na simba ana point 2.
Hapo lazima mmoja akusanye point 6 kwa mwenzake ndio atafuzu
Asec na Jwaneng wenye point 4 kila mmoja na wao wanacheza mechi 2 mfululizo.. huku kuna dalili ya mmoja kufikisha point 10.
Kuna dalili kubwa ya Asec ama jwaneng kufuzu kabla hajacheza na simba na wydad marudiano
upande wa SIMBA NA WAYDAD nafasi yao ya kufuzu itakuwa 1 tu.
JWANENG NA AISEC upande wao lazima kuna mmoja atafuzu
Nawaombea Jwaneng na Asec wafuzu mapemaaaSimba anacheza na wydad mechi mbili mfululizo. Waydad mpaka sasa ana point 0. Na simba ana point 2.
Hapo lazima mmoja akusanye point 6 kwa mwenzake ndio atafuzu
Asec na Jwaneng wenye point 4 kila mmoja na wao wanacheza mechi 2 mfululizo.. huku kuna dalili ya mmoja kufikisha point 10.
Kuna dalili kubwa ya Asec ama jwaneng kufuzu kabla hajacheza na simba na wydad marudiano
upande wa SIMBA NA WAYDAD nafasi yao ya kufuzu itakuwa 1 tu.
JWANENG NA AISEC upande wao lazima kuna mmoja atafuzu
AahaaaaaSimba na wydad watapita kwenye hili kundi , tena afadhali mwaka huu simba hajafungwa mpaka saiz
Msimu uliopita alipigwa na horoya na raja home and away inamaan alidondosha point 9 lakin alipita
Kama simba akiweza kuchukua point 1 kwa wydad na 6 kwa hao jamaa wengine akafikisha hata 9 mambo yatakuwa vizuri maana naona asec au jwaneng watakomea kuwa na point 7 au 5..