Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Mie naona ili kumaliza mgawanyiko na mvutano unaojitokeza kuhusu Tanzania kuwa na serikali mbili au tatu, basi tuwe na serikali moja. Maana kama suala ni kuua kero za muungano na kuuimarisha, basi serikali moja ndio jibu la yote.
Serikali moja Tanzania ni jambo linalowezekana, kama kweli tuna nia ya kuimarisha muungano na hatuongei unafiki.
Serikali moja Tanzania ni jambo linalowezekana, kama kweli tuna nia ya kuimarisha muungano na hatuongei unafiki.